Kesho ni uchaguzi afrika kusini

Kesho ni uchaguzi afrika kusini

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
370,965
Reaction score
858,952
Uchaguzi wa Afrika Kusini ni kesho, ambapo umeanza leo kwa watu wazima na wasiojiweza kupiga kura zao, rais Zhuma anagombea kwa kipindi cha pili na cha mwisho kwa mujibu wa katiba! Anajiamini kuwa atashinda kwa kishido tunasubiri kwa hamu kuona kama kweli maneno yake yatatimia kwasababu licha ya changamoto nyingi za kiuchumi, kimaisha usalama nk lakini wengi wanaona afrika kusini chini yake imezidi kupoteza ile hadhi na heshima yake kimataifa
 
Back
Top Bottom