Hongera mwanakijiji Kwa hoja zako zenye uzani, hawa ccm wamechanganyikiwa sio bure, muda wote wanawaza kutukandamiza wananchi wa kipato cha chini, mijitu haina aibu, wala huruma, dawa na tembo kuomba abebwe mgongoni na sisimizi, ccm Wana laana kutoka Kwa muasisi wao kambarage!!