Mara nyingi watu hamuwez kulingana kipato,basi kama mwanamke anacho zaidi na amsaidie mwanaume lkn si kwa kuhonga au kunywea pombe bali kwa mambo yenye tija.
hv mbona mna hofu sana na lowasa,siku zote mpinzani mwenye uwezo ndie anaye hofiwa,inamaana lowasa amewazidi kiasi hicho! basi jipangeni kwa hoja sio majungu.majungu yenu ndio yanampandisha chati zaidi coz kila siku mnafanya kazi ya kumtangaza kwenye media.
jamani watanzania wenzangu tumeambiwa tutoe maoni yetu,ama Zito ama Dr. Slaa,haya mambo ya kupambanisha dini siyo mada hapa,hebu tusiukuze udini,toa sababu zako za msingi tu.kama waelewa mtakua mmeelewa,kama ndo wale wa ngumbalo haya...
Napenda viongozi wangu wa CDM wakalisemee hili:WAALIMU wanapelekwa vijijini kwenye shule za kata lakini inapofika mwalimu huyu anataka kwenda likizo anaambiwa atalipwa kwa viwango vya SUMATRA na ikumbukwe sumatra hawajapanga viwango vya kwenda na kutoka kwenye vijiji,na unakuta nauli ya kutoka...
CDM hawahitaji kuogopwa na m2,kazi yao kubwa waliyotumwa na Mungu na walalahoi wa nchi hii ni kutetea maslahi ya wananchi wao na kutoa hoja zenye mashiko,angalia kijana bungeni sio Darlive pakushuhudia taarabu zenye vijembe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.