Recent content by Jacobs urio

  1. J

    Barua kwa Barrick Gold Chairman. J.L.Thornton, kutaka amfute kazi B.Gordon wizi na kashfa Acacia

    shida Ni kuwa hatutaki kuwa Na union against new colonialism in Africa.. Bado tunawaona wazungu Ni Kama mungu kutokana Na ufinyu WA mawazo yetu.. Yes mawazo Na mitazamo.. Kama Cole kaandika Na kasema Ni group of volunteers kwa nini tunambishia..!! Tufungue macho guys.. Tatizo kubwa vijana wengi...
  2. J

    Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Prof. Palamagamba aula, Mwakyembe achukua nafasi ya Nape Nnauye

    Ni kweli nimemsikia Msigwa akizungumza Na Clouds Fm
  3. J

    Magufuli afanya ziara ya kushtukiza ujenzi uwanja wa ndege na kukuta kazi zimelala

    Rais Magufuli katangaza yeye ndo atakayekuwa consultant WA mradi huo... Mmmhhh..watafutwe ma engineers wazalendo 3 watakaofanya kazi atakazosema yeye..
  4. J

    Washika dini wana IQ ndogo kuliko wasioshika dini?

    Waishi bila kutegemea sadaka..bwahahahaaaa..
  5. J

    Kadiri muda ulivyosogea ndivyo wakosoaji wa Magufuli walivyozidi kuongezeka

    Sidhani Kama Ni muda sahihi WA kuanza kumlaumu raia kwa kila mambo..ina maana yeye Ni mwendawazimu hawezi wala hajui kuongoza nchi..?sidhani Kama Ni sahihi kumstress kiongozi WA nchi..uhuru tulio nao tusiutumie vibaya kiasi cha kurudisha nyuma maendeleo..ndani ya mwaka mmoja mnataka miujiza...
  6. J

    Lissu: Asiyefanya kazi na asile

    Na watu WA level hii ndo makino kuliko wenye degree au phd..wanatendea kazi level yao kwa ufasaha mkubwa..
  7. J

    Wafanyabiashara ndogondogo Ubungo wachoma daraja la Ubungo moto

    Mtoa mada bhana...daraja linaunguaje??sema wamechoma tairi darajani..sio daraja limechomwa Moto..hii mpya..
  8. J

    Ambao mmeshahakikiwa vyeti: Tupeni desa la mchakato wa zoezi hilo

    Wa wanaohakiki nani kawahakiki?wengine nao Ni shida hawana vyeti halisi
  9. J

    Atheism: Imani nusu na robo

    Kwani lazima kumlaum mtu au kitu chochote ??
  10. J

    Dunia ilitokea by chance

    H Hapo sasa namimi najiuliza
  11. J

    AJALI: Basi la kampuni ya Hood lililokuwa likitoka Mbeya kwenda Arusha

    Kwa hiyo trafic anauhusiano gani na hiyo ajali..wangechomoa tairi Ili gari isimame isigonge au..
Back
Top Bottom