shida Ni kuwa hatutaki kuwa Na union against new colonialism in Africa.. Bado tunawaona wazungu Ni Kama mungu kutokana Na ufinyu WA mawazo yetu.. Yes mawazo Na mitazamo.. Kama Cole kaandika Na kasema Ni group of volunteers kwa nini tunambishia..!! Tufungue macho guys.. Tatizo kubwa vijana wengi...
Rais Magufuli katangaza yeye ndo atakayekuwa consultant WA mradi huo... Mmmhhh..watafutwe ma engineers wazalendo 3 watakaofanya kazi atakazosema yeye..
Sidhani Kama Ni muda sahihi WA kuanza kumlaumu raia kwa kila mambo..ina maana yeye Ni mwendawazimu hawezi wala hajui kuongoza nchi..?sidhani Kama Ni sahihi kumstress kiongozi WA nchi..uhuru tulio nao tusiutumie vibaya kiasi cha kurudisha nyuma maendeleo..ndani ya mwaka mmoja mnataka miujiza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.