Recent content by jacksaw__

  1. jacksaw__

    JamiiForums Tanzania Wauza smartphone tukutane hapa

    Wakuu niaje Niko na Samsung S9 (USED from USA) Color Nyeusi Storage 64Gb Location Dodoma mjini Simu ni mpya sana ( Very clean) Price 280,000/= 0762201714
  2. jacksaw__

    JamiiForums Tanzania Wauza smartphone tukutane hapa

    Wakuu niaje Niko na Samsung S9 (USED from USA) Color Nyeusi Storage 64Gb Location Dodoma mjini Simu ni mpya sana ( Very clean) Price 280,000/= 0762201714
  3. jacksaw__

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kuna hatua imefika De Gea inabidi atupishe asee, maana kuna makosa anafanya mpaka unashika kichwa yani
  4. jacksaw__

    JamiiForums Tanzania Ajira portal Utumishi unaweza kudelete sehemu yoyote ulipokosea lakini kipengele cha education qualifications No!

    Hii scenario iliwahi kunitokea mpaka nikaenda ofisini kwao ndiyo wakanisaidia
  5. jacksaw__

    JamiiForums Tanzania Wauza smartphone tukutane hapa

    Inataka 380
  6. jacksaw__

    JamiiForums Tanzania Wauza smartphone tukutane hapa

    Ipo lakini inataka 400 boss, full box
  7. jacksaw__

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kuna kitu unatakiwa kujua kuwa kuna manager na makocha, mtu kama ole mimi huwa naona kama ni manager hawez kumcoach mchezaji akawa hatari sana ndiyo maana unamuona pogba akiwa united haperfom kama akiwa timu ya taifa. Ila mchukuwe huyu pogba wa united mpe klop utajua hujui
  8. jacksaw__

    JamiiForums Tanzania Wauza smartphone tukutane hapa

    Ipo boss, karibu
  9. jacksaw__

    JamiiForums Tanzania Wauza smartphone tukutane hapa

    Samsung a12 Internal storage 64Gb Non removable battery Android version 10 Color red Full box na risit yake For more info +255 762 201 714 Location: Dodoma
  10. jacksaw__

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Usipowapiga vizuri wanatangaza, ukiwapiga vizuri nayo ni tatizo.
  11. jacksaw__

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Haha, amejua ulimpakia putururu ndiyo maana hataki mazoea tena
  12. jacksaw__

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    kwenye kupima vitu kama hivo huwa kuna vest wanavaa zinakuwa na Gprs ambayo huwa inafanya kazi ya kumonitor kila kitu akiwa uwanjani
  13. jacksaw__

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Wadau eeh, imekuwaje jana Tuanzabe amecheza huku amevaa smart watch ni kwamba refa alikuwa hajakagua wachezaji kabla ya game
  14. jacksaw__

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Sababu kubwa ya kupinga ni namna ambvyo vilabu vingi vidogo vitakosa sehemu kubwa ya kujipatia mapato na kingine pia kiuhalisia hata ile ndoto ya wachezaji wengi kuwa wanataka kucheza kwenye mashindano makubwa kma UCL inakuwa ndogo. Na kingine zile battle ambazo tumezizoea inakuwa siyo nzuri...
  15. jacksaw__

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    poa mkuu
Back
Top Bottom