Recent content by Jack Wabukoba

  1. Jack Wabukoba

    Kama unahitaji mwalimu, nipo hapa

    NIPO HAPA: Kama unamhitaji mwalimu mzuri wa masomo ya ENGLISH LANGUAGE na KISWAHILI (Structure+Literature) Pia masomo ya HISTORY, CIVICS + GENERAL STUDIES (G.S), SOCIAL STUDIES (SST) na I.T. NIPO HAPA: Pia kama utanihitaji kama mwalimu binafsi wa KOZI YA KIINGEREZA (ENGLISH COURSE). NIPO...
  2. Jack Wabukoba

    Ni kweli kuna utajiri wa nguvu za giza?

    Nitext PM maelekezo na mawasiliano.
  3. Jack Wabukoba

    Ni kweli kuna utajiri wa nguvu za giza?

    Hii kitu haifiki mwisho japo hatar asee, imeishia katikati. Hauna link nyingine inayoweza kunipa story hyo A-Z?
  4. Jack Wabukoba

    Ni kweli kuna utajiri wa nguvu za giza?

    Hi ndugu, Naambiwa sana na kusoma simulizi kuwa mganga wa kienyeji anaweza kumuwezesha mtu kupata utajiri. Utajiri tena wa pesa taslimu (CASH) noti tupu. Kwamba unaenda kwa mganga na ukitoka tayari unazo, unatoka na maburungutu ya kutosha kwenye mfuko (begi). NAOMBA anayejua anijuze kwamba JE...
  5. Jack Wabukoba

    Nini maana ya EP?

    Maana ya DJ ni "Disc Jockey" yaani msababisha mziki kwa kuchezesha kisahani (disc) cha santuli. sasa wanaotembea na milaptop et ni maDJ hamna kitu hapo!
  6. Jack Wabukoba

    Nini maana ya mtu kuwa na gubu?

    Gubu ni upungufu wa nguvu za kiume na kike unaosababisha utasa!
  7. Jack Wabukoba

    Bado natafuta mchumba aje kuwa mke jamani

    . Inaonekana hvo.
  8. Jack Wabukoba

    Bado natafuta mchumba aje kuwa mke jamani

    Mungu akuwekee wepesi mkuu!
  9. Jack Wabukoba

    Nahitaji Mwanamke wa kuoa/kuishi naye mwenye nia ya dhati na mkweli

    Habari, pole na majukumu. Bado ninatafuta mke. Kama upo tayari kuyaanza maisha ya mume na mke kwa sasa. Sina vigezo vigumu vya kushinda mtu, bali tuchache twa kawaida sana. Wasiliana nami kwa 0623 605 405 muda wowote tufahamiane na tujue cha kufanya. NB: UWE SERIOUS 100% sitasoma replies...
  10. Jack Wabukoba

    Namtafutia mamdogo wangu Mume wa kumuoa kisiri bila yeye kujua

    Ebu nipigie seriously kupitia 0627 015 700 au 0623 605 405
  11. Jack Wabukoba

    Nahitaji Mwanamke wa kuoa/kuishi naye mwenye nia ya dhati na mkweli

    KWA ALIYE SERIOUS 100% A: KUHUSU MIMI DINI: MKIRISTO KIMO: Mrefu wa kadri RANGI: Maji ya kunde ELIMU: Degree KAZI: Sijaajiriwa NDOA: Sijawahi kuoa MTOTO: Sina UMRI: 34 MAKAZI: Kagera Mengine tutaelezana NAHITAJI mwanamke aliye tayari kuanza kuishi na mwanaume hata sasa (ndani ya muda mfupi...
Back
Top Bottom