Mo ana Nia njema na Simba,na anatamani Simba ifanye vizuri , Tatizo ni pesa ,na si kwamba pesa haipo ni mpaka mfanye vizuri kimataifa walau mfike nusu fainali CCL ndipo atasajili key players. 🤣🤣
Hivi mnajua mhindi au mnamsikia
Kwanza lazima ujue biashara ni nini?
Biashara ni kitendo cha kubadilishana bidhaa Kwa bidhaa au bidhaa Kwa pesa.inshort ni kuuza na kununua.
Biashara ni somo linafundishwa kuanzia shuleni hadi chuoni.
Kwahiyo jibu lako lipo hivi
Ni aina gani ya biashara?
Ndogo?
Ya Kati ?
Au kubwa...
Sana tu,ishu inakuja kijana ni bishoo hawezi kupiga debe,wala kuwa Winga ,eti watu watamuonaje.
Vijana baadhi wanataka kazi za maofisini ,
Laptop pembeni na Vitu vingine vizuri wakati hawana Elimu.
Yote Kwa yote vijana wanaojituma wapo watu wanapambana sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.