Recent content by Jack Daniel

  1. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania José Mourinho kusaini mkataba wa miaka miwili na Real Madrid

    Aelewe kuwa mpira umebadilika, Mbinu zake za kizamani aachane nazo
  2. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Anayejua dawa ya jino, leo sijalala

    Nenda pharmacy,tafuta Diclopar MR.linatulia Au Flama hii ni kiboko vidonge vikigusa kinywa tu linatulia. Pole sana muhimu kwenda hospital
  3. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Kofia(boshori) zibauso achia macho zinazoanza kushamiri mitaani sio nzuri kiusalama

    Huu Uzi hajaandika mtibeli,nakataa. Uzi mfupi halafu Mtibeli anatukana😂 Watibeli hatupo hivi
  4. Jack Daniel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pombe ikitumiwa kwa usahihi ni burudani isiyo na mpinzani

    Ten mbona kubwa Kwa hizi pombe za mtaani
  5. Jack Daniel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pombe ikitumiwa kwa usahihi ni burudani isiyo na mpinzani

    Utulivu wa moyo,na kurelax Utulivu wa akili haswa kwenye kazi zinazotumia akili nyingi (Engineers wengi wanajua) Kuongeza hamasa na msisimko wa homoni mwilini ,kuamsha ubongo haswa Kwa introverts(kuna mtu hawezi kuongea mbele ya umati bila kunywa) Uwezo wa kubalance control ya mwili (hii Kwa...
  6. Jack Daniel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pombe ikitumiwa kwa usahihi ni burudani isiyo na mpinzani

    Ipo mkuu
  7. Jack Daniel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pombe ikitumiwa kwa usahihi ni burudani isiyo na mpinzani

    Pole mkuu Mimi mwenyewe nimeandika Uzi huku sioni vizuri😂
  8. Jack Daniel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pombe ikitumiwa kwa usahihi ni burudani isiyo na mpinzani

    Uchi wa mwanamke siyo starehe,hiyo iko responsible zaidi, kwasababu usipofanya Kwa muda mrefu utaharibikiwa, Lakini pombe ni starehe ambayo hata usipoitumia hakuna madhara utapata
  9. Jack Daniel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pombe ikitumiwa kwa usahihi ni burudani isiyo na mpinzani

    Kabisa ni ngumu mno
  10. Jack Daniel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pombe ikitumiwa kwa usahihi ni burudani isiyo na mpinzani

    Sasa uzinzi si ni tabia mbaya isiyo na manufaa yeyote 😂
  11. Jack Daniel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pombe ikitumiwa kwa usahihi ni burudani isiyo na mpinzani

    Ni nzuri pia ina kauchungu fulani kautamu
  12. Jack Daniel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pombe ikitumiwa kwa usahihi ni burudani isiyo na mpinzani

    Mmmh tumetofautiana kumbe, Mimi nikilewa naweza vuta yeyote,kimbembe pombe zikiisha ndo utajua uliagiza Alibaba au kampuni gani 😂
  13. Jack Daniel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pombe ikitumiwa kwa usahihi ni burudani isiyo na mpinzani

    Safari lager ndiyo ilikuwa bia yangu pendwa,ila kwasasa sijui uzee,huniambii kitu Kwa castle lite 😂
  14. Jack Daniel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pombe ikitumiwa kwa usahihi ni burudani isiyo na mpinzani

    Mbaya zaidi Unakuwa na adui usiyemjua anakunyonya taratibu
  15. Jack Daniel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pombe ikitumiwa kwa usahihi ni burudani isiyo na mpinzani

    Kabisa mkuu
Back
Top Bottom