Recent content by Jack Daniel

  1. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Kwa Hasira nilizonazo juu ya Kinachoendelea sasa Simba Sports Club nakuomba Fei Toto usije Simba SC bali nenda zako Yanga SC

    Mo ana Nia njema na Simba,na anatamani Simba ifanye vizuri , Tatizo ni pesa ,na si kwamba pesa haipo ni mpaka mfanye vizuri kimataifa walau mfike nusu fainali CCL ndipo atasajili key players. 🤣🤣 Hivi mnajua mhindi au mnamsikia
  2. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Jay Rutty na Wewe acha Kutuchanganya na Upuuzi wako sijui wa X-FACTOR kama unasajili Mchezaji sajili huwezi / huna Hela tafadhali nyamaza

    Kwani wewe Genta Simba ni timu yako,unaumia kuliko familia ya Mo Dewji wanaotoa hela.wewe anayekujua nani. Acha kupaniki
  3. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Kwanini maisha binafsi ya mastaa yanapendwa kufatiliwa kuliko kazi zao?

    Kuwa popular ni Raha bwana na hizi zama za mitandao,unaishi tu Kwa drama ili mradi mkono uende kinywani
  4. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Mwijaku ana matatizo yake ya Kibinadamu kama tuliyonayo wengine wote, ila kwa alichokiposti Instagram Kwake dakika 47 zilizozipa nakubaliana nae 100%

    Hii kusema Mwalimu katutoka haijakaa poa,ni kama vile mtu kafariki. Kesho jumatano naiona ngao ikija jangwani pasi na pingamizi
  5. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania GeorDavie kwenye kashfa nyingine ya ngono na uchawi na binti wa kizungu

    Ukiwa na pesa unaweza kujaribu kufanya vitu vingi sana, pesa mwanaharamu
  6. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Matako Bar-Ya Arusha

    Leo ni siku ya kazi kivipi ,kwani kazi ina siku ,au unaripoti kama mwanafunzi
  7. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Hivi biashara unatakiwa uifanye ndio uijue au uifanye kwanza ndio uijue?

    Kwanza lazima ujue biashara ni nini? Biashara ni kitendo cha kubadilishana bidhaa Kwa bidhaa au bidhaa Kwa pesa.inshort ni kuuza na kununua. Biashara ni somo linafundishwa kuanzia shuleni hadi chuoni. Kwahiyo jibu lako lipo hivi Ni aina gani ya biashara? Ndogo? Ya Kati ? Au kubwa...
  8. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Inaonekana wazi sasa kuwa Dangote alikimbilia kujenga refinery Kenya baada ya kukataliwa Tanzania

    Hautajengwa Kenya au wapi? Fafanua
  9. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Sio kwamba anakupenda, Anakuhitaji kwaajili ya kutimiza nahitaji yake

    Vitisho vimezidi sasa
  10. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Fani yenye soko kubwa lakini vijana hawaijui ni ipi?

    Sana tu,ishu inakuja kijana ni bishoo hawezi kupiga debe,wala kuwa Winga ,eti watu watamuonaje. Vijana baadhi wanataka kazi za maofisini , Laptop pembeni na Vitu vingine vizuri wakati hawana Elimu. Yote Kwa yote vijana wanaojituma wapo watu wanapambana sana
Back
Top Bottom