Recent content by Jack Daniel

  1. Jack Daniel

    Mbowe, Lissu, Heche, Lema, Mnyika na Sugu wanazeeka, sioni Chipukizi mwenye Hekaheka na uwezo mwenye miaka 25-40. CHADEMA wanampango upi?

    Hofu imetanda, Wasiwasi wa kutekwa na kupotezwa upo juu,hata kama Una ujasiri kiasi gani lazima urudi nyuma. Deusdedith Soka Yuko wapi? Mdude Nyagali Yuko wapi? Hata wale waliopo wengi wapo nchi za nje. Kilichobaki ni vijana kujipendekeza ,na kuwa machawa. Naona vijana wametembea na...
  2. Jack Daniel

    Utapeli mpya kwa mafundi, kuweni makini

    Mkuu umechambua vizuri sana. Shida inakuja kwenye ugumu wa maisha fundi ana zaidi ya miezi sita hajawahi fanya kazi nzuri zaidi ya vijideiwaka vya hapa na pale. Halafu anatokea mshua anakupa mchongo wa Kujenga kasri lake,fundi hapo ana uhakika wa kupata Ada za watoto,kulipa pango pamoja na...
  3. Jack Daniel

    TBC ni TV ya waislam na wakristo wakatoliki?

    Acha udini na ukabila
  4. Jack Daniel

    Vita ya kidini inachipua chinichini

    Hivi kafiri ni mtu gani? Na kwanini umuite mtu kafiri?
  5. Jack Daniel

    Elimu ni cheti au ni ujuzi?

    Elimu ni ujuzi,wazee wa kale waliweza kutengeneza vitu mbalimbali,Kwa ustadi na akili,hiyo ni Elimu waliiacha,cheti ni kama tiketi ya uthibitisho
  6. Jack Daniel

    Umewahi kukutana na Hali kama hii

    Kifo ni kifo tu hakizuiliki
  7. Jack Daniel

    Ndoa si kitu chepesi, fanya haya walau upate ahueni

    Wewe unaleta mabishano,soma tena Ile namba 10,imebeba yote niliyoandika
  8. Jack Daniel

    Ndoa si kitu chepesi, fanya haya walau upate ahueni

    Nimesema nilipoteza pesa Kwa kuibiwa begi langu ambapo nilitaka nikawalipe vijana wangu , kwenye Karakana yangu,kifupi niliibiwa
  9. Jack Daniel

    Ndoa si kitu chepesi, fanya haya walau upate ahueni

    Nimesimama takribani mwaka na miezi minne,labda kwakuwa ilikuwa hasira ya kupoteza pesa lakini na Acha castle lite bwashee 🤣
Back
Top Bottom