Recent content by Jack Daniel

  1. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Mtu akifika tu bei nauzaga kitu changu bila kupanga

    Jiangalie kuna wanaume mashwaini hapa mjini,na Wana pesa zipozipo tu wanaweza kufika bei kitu usichotarajia
  2. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Hakikisha unabakisha pesa,Hii siri mtanishukuru.

    Ni wapi nimetaja uwepo wa Mungu
  3. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Kujithamini, kujiamini na kujikubali Kwa mwanaume.

    Salute mkuu
  4. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Kujithamini, kujiamini na kujikubali Kwa mwanaume.

    🤣🤣🤣 Watu wamesanuka
  5. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Hakikisha unabakisha pesa,Hii siri mtanishukuru.

    Kupata pesa ni mipango , Mvuto wa pesa unategemea miradi na vitega uchumi siyo hekaya za Abunuwasi 🤣
  6. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Kujithamini, kujiamini na kujikubali Kwa mwanaume.

    Kubali au ukatae, Dunia ni ya mwanaume,kila kilichomo ulimwengu kipo kwenye control ya mwanaume. Kila anachofanya mwanamke ujue kimeanzishwa na mwanaume. Kwanza niwasalimie,lakini pili nichukue nafasi hii kuwapongeza wale ambao tunafuatilia world cup, Hadi hii Leo timu ziko semi final...
  7. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Hii video sio ya wagonjwa wakiletwa hospital bali ni mateka waliokuwa chini ya magaidi wa fulani kwa siku 67. Waliteswa, kubakwa na kushindishwa njaa

    Dini ni ustaarabu ukiona mtu anaabudu,yaani ana amini uwepo wa Mungu,muheshimu. Mimi ni mkristo lakini nikitembea maeneo ya waislamu huwa nafurahi Sana nikimuona mtu anayeswali. Hakuna mwenye uhakika wa Pepo ama jehanamu lakini ni vema tukijiweka kwenye zone nzuri yenye kukemea na kukataa...
  8. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Tunaodaiwa pesa au mali fulani tuna msongo wa mawazo

    Na hii roho ipo,yaani ukipata Unakuwa mgumu kulipa sijui sababu huwa ni nini.
  9. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Tunaodaiwa pesa au mali fulani tuna msongo wa mawazo

    Ongezea na hii Maitaji❌=Mahitaji.✅ 🤣🤣
  10. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Uzi wa kuambiana ukweli. Taja kada na tabia zao zisizovumikika. Mimi naanza na polisi. Polisi hamna shukrani

    Ni kazi gani ulifanya nao na kwanini iwe Oct 29 last year
  11. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Cyprian Musiba: Muunganiko wa Heche na Lissu itatupa tabu CCM, Mbowe sio mgumu

    Kuna athari yeyote imetokea Kwa CCM? Au unalishwa propaganda
  12. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Maisha yana funzo kwetu

    Binadamu si wema
  13. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Imefikia hatua Maria Sarungi na Mange Kimambi na wanaharakati wanaweza kusimamisha shughuli za kiuchumi katika majiji Makubwa. Wamebakiza nini?

    Acha ujinga mkuu,ni vema usijibu kuliko kuendelea kujenga hoja mfu,tena bado unazidi kutukana,unamwambiaje mtu ana hisia laini. Inaelekea umepata malezi mabaya sana,ulikolelewa
Back
Top Bottom