Kubali au ukatae, Dunia ni ya mwanaume,kila kilichomo ulimwengu kipo kwenye control ya mwanaume.
Kila anachofanya mwanamke ujue kimeanzishwa na mwanaume.
Kwanza niwasalimie,lakini pili nichukue nafasi hii kuwapongeza wale ambao tunafuatilia world cup, Hadi hii Leo timu ziko semi final...
Dini ni ustaarabu ukiona mtu anaabudu,yaani ana amini uwepo wa Mungu,muheshimu.
Mimi ni mkristo lakini nikitembea maeneo ya waislamu huwa nafurahi Sana nikimuona mtu anayeswali.
Hakuna mwenye uhakika wa Pepo ama jehanamu lakini ni vema tukijiweka kwenye zone nzuri yenye kukemea na kukataa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.