Recent content by Jabu2

  1. Jabu2

    Why France is building warships for Russia

    Kaka kumbuka hata huyo USA ananunua Engine za kurusha Roketi zake kutoka Urusi so ukipata jibu hili pia ujapata jibu la swali ulilouliza
  2. Jabu2

    One Shot, One Kill: Russia Creates World’s 1st Para-Drop Air Defense System

    watu wengi wanachoshindwa kuelewa ni kwamba Urusi hapgiki hata Nato wanajua hilo. jamaa wamewekeza xn kwenye Makombora na hata ukiuwa Warusi wote hayo madude yanauwezo wa kujiendesh yenyew
  3. Jabu2

    One Shot, One Kill: Russia Creates World’s 1st Para-Drop Air Defense System

    mkuu Rassia ana haki ya kuwa silaha kali kwa sababu ana maadui wengi, na lazima tukirl hao Nato hata wasaidiwe na USA ,Israel hio vita itaiacha Ulaya nzima kama Jangwa
  4. Jabu2

    Ninatafuta mpenzi/mume nipo serious

    hellow, nimepend maelezo yako cjui upo dar sehem gan?
  5. Jabu2

    One Shot, One Kill: Russia Creates World’s 1st Para-Drop Air Defense System

    Humu kunawatu wanachekesha sana ila mkae mkijua hakuna kiumbe au binadamu anaweza kuivamia Rassia kijeshi. hat Dunia nzima iunganishe majeshi yote na. Mrusi asimame pekeake
  6. Jabu2

    Wakati Rais akiimarisha ushirikiano na Israel, jionee kinachoendelea

    Waafrika tuna mawazo duni san! Huyo Myahudi hatak ata kumsikia huyo Yesu
  7. Jabu2

    IMF: Uchumi wa Tanzania waongoza Afrika Mashariki

    Huo uchumi unakua kwenye Makaratasi 2 ila hali ya Mtanzania wa kawaida ni mby sana hasa maeneo ya Vijijini
  8. Jabu2

    Urusi sasa kujikita Tanzania, yapanga kujenga mtambo wa Nyuklia Tanzania

    Tusubiri kwanza tuone km ni ukweli au maneno tu
Back
Top Bottom