watu wengi wanachoshindwa kuelewa ni kwamba Urusi hapgiki hata Nato wanajua hilo. jamaa wamewekeza xn kwenye Makombora na hata ukiuwa Warusi wote hayo madude yanauwezo wa kujiendesh yenyew
mkuu Rassia ana haki ya kuwa silaha kali kwa sababu ana maadui wengi, na lazima tukirl hao Nato hata wasaidiwe na USA ,Israel hio vita itaiacha Ulaya nzima kama Jangwa
Humu kunawatu wanachekesha sana ila mkae mkijua hakuna kiumbe au binadamu anaweza kuivamia Rassia kijeshi. hat Dunia nzima iunganishe majeshi yote na. Mrusi asimame pekeake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.