Recent content by jabongani

  1. J

    Bongo star search 2015

    1 watambeba kayumba 2 frida n 3 hyo wa gitaa!
  2. J

    Bongo star search 2015

    Hyo dem yuko vizuri bana tuseme ukweli
  3. J

    CHASO kufanya maamuzi magumu leo Dar es salaam

    Acheni uzushi mi ni mwanachama mbona cjasikia kitu km icho n nimeuliza wenzangu karibu 10 wote hawajui kuhusu hyo ishu! Acheni siasa za kitoto
  4. J

    Wacha nipangue hoja dhaifu za Lowassa na UKAWA

    Anataka kutujengea viwanda baada ya utawala gani kuviua na kugawa kama pipi viwanda vilivyoachwa na Mwalimu? Unadanganyika kujengewa viwanda wkt umeme bado tatizo kuu so ivyo viwanda vitatumia power bank au?
  5. J

    Dawa ya kuongeza nguvu za sperms

    Ilo tatizo linasovika na chakura bt co madawa nliwai kuskia kwenye kipindi vyakura km maboga na mbegu zake pia matikiti maji na mbegu pia ushajaribu
  6. J

    Picha: Mama Regina Lowassa Leo

    Hata km hausapoti chama hyu mama yuko poa sana na nazan yuko ivyo naturaly coz toka miaka ya 1998 alikuwa anajichanganya na kujitoa sana church kwetu
  7. J

    Tundu Lissu: Dr. Slaa ni muongo, watanzania mpuuzeni. Maneno yote tatizo ni Urais

    Jaman wakuu embu naomba meelezo japo kidogo kuhusiana na Membe na pesa ya Gadafi maana naiskiaga bt sijapata picha kamaili! Najua sipo mahali pake bt naomba kujuzwa
  8. J

    Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea urais kupitia CCM, Dr. Pombe Magufuli na Samiah Suluhu

    Nimeona video akiwa anapita maeneo ya kabwe kwa kweli ilimpa shida co kitoto coz watu wote vidole viwili juuuu
  9. J

    HAO (Joh Makini) Vs FID Q.COM

    Kuwashindanisha hao jamaa co fair coz ni generation tofauti bt tukiongelea kushika 4 abt 4 yrz now joh kashika mfululizo n jamaa yko vzt ingawa fid bado atabaki ni kaka kwa joh
Back
Top Bottom