Wewe si mwislamu? Ongea wewe, soma uislamu kwanza halafu uusemee, acha kuropoka, uislamu haufuati Wanavyofanya dini nyingine Bali kama unavyosema uislamu, uislamu unakataza mabaya yote na tunasikia wanakataza, kuua, kuzini, kunywa pombe, kamar, riba, uongo, dhuluma, wizi, na mengineyo, nenda...