kwanza alisema kaomba maji mara ishakuwa soda na biskuti. alafu mtu akizima anafungwa pingu na kupigwa kisa nini??? Jamaa anatusimulia series then anajaribu kutuongopea kuwa ni siasa
Mtaendekea kuwadangsnya watanzania wajinga wa mtandaoni lakini mtakapokwenda kwenye ground kwa wananchi i bet mtapata tabu...huko kwenye uhalisia wa maisha ndipo watu wanaona madawa yameongezeka hospitalini, barabara zimejengwa, madaraja na huduma mbalimbali za kijamiii...huko ndipo mtapata aibu...
Wanajaribu kulipakaa matope taifa letu kwa nguvu sana, hadi kumuondoa Balozi wao na kusingizia amefukuzwa. Ni vema wananchi tufumbue macho kutazama hizi siasa za kimataifa zinavyoenda baada ya kuwapiga pini katika mianya yao ya kutunyonya.
Salaam wazazi wenzangu!
Nina imani wengi hadi wakati huu Tumeona na kusoma azimio liliotolewa na Bunge la Ulaya. Kiini cha azimio hilo ikichagiza ushoga. Serikali ya awamu ya tano inapokuwa ngangali katika kukemea jambo hili, ndio wanaamua kutoa vitisho kuitingisha serikali endapo ushoga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.