Katika simu zilizopigwa hapo 4..moja ya bwama malupu na tatu za huyu mama..kuna jamaa kapiga simu kamwambia angekuwa karibu angempiga na kofi huyo kijana kwa kushabikia ccm..watu wanahasira na ccm duh
hata huku kahama kuna bar fulani umeme ukikatika watu huenda kuangalia taarifa ya habari..yaani habari ya lowassa tu ikiisha watu wanatoka hata kama kuna habari zingne watu wanaishia hapo na kuanza kutoka
mimi nipo kahama mjini hapa...ukweli ni kuwa lembeli anarudi bungeni kwa kura za wananchi hasa alivyohamia chadema ndio amepata nguvu zaidi pamoja na uwezo wake wa kuzungumuza ukilinganisha na mpizani wake kishimba hana kabisa uwezo wa kujenga hoja zaidi ya kuahindi kujenga na kutekeleza ahadi...
huyu dr si aungane na akina mwakyembe na ccm wezao kama wana ushahidi waende mahakamani..wananchi tunajua kuhusu richmond na kwenda srar tv ni kutuchaganya wananchi...TUMESHAAMUA BORA LOWASA NA UKAWA KULIKO POLI LA MAFISADI YA CCM..TUTAKUCHAGUA LOWASA HIVYO HIVYO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.