Maskini MUSSA ALLAN. Umekuwa mtumwa wa MafisadiHata akiondoka Mbatia mwenyewe UKAWA itaendelea kuwepo. Na Lowassa ndiye Rais ajaye kupitia UKAWA.
Ni wakati wake kuondoka sasaheee mbona amechelewa sana kuondoka
Kila anayehama Chama amenunuliwa, haya niambie LOWASSA amenunuliwa shilingi ngapi ili aje kuwa mgombea wenu..?Nimeota kanunuliwa!
Press conference yake ya kwanza toka awe mwanachama na kisha makamu mwenyekiti ni ya kujiuzulu tena inarushwa moja kwa moja? duh Tanzania haiishi vituko!
Hilo jina hata mimi limenistua..,maana MAKAMU MWENYEKITI ninayemjua hana jina hilo...lakini lisemwalo lipo, ngoja tusubiri na Mods watusaidie kufanya confirmation..Ndio kwanza namsikia leo
Hivi unaandika huku una bl. .. nini!Wewe mchumia tumbo njaa kali una nini?Hivi nyie akili zenu zipoje..? Kila anayehama Chama amenunuliwa, haya niambie LOWASSA amenunuliwa shilingi ngapi ili aje kuwa mgombea wenu..?
Hivi nyie shuleni mnaenda kufanya nini, maana akili zenu ni pumba tupu..
Watanzania washaamua pa kupeleka kura zao october 25..huu ni mwaka wa mabadiliko, wao waondoke tu maana wataumia ni familia zao, sisi ni ukawa tu maana hakuna namna...!! Anaitwa nani vile huyo mama, maana hata kwenye siasa za nchi hii nadhani hili jina ni geni kwangu