Mtikisiko CCM Kahama, Kishimba atishia kujitoa!

Mtikisiko CCM Kahama, Kishimba atishia kujitoa!

sasa kishimba itabidi amtafute field marshal mwigulu aje apige kazi kama wiki hivi hapo ndo anaweza kufanikiwa,,,alimu underestimate lembeli,,,kosa kubwa sana
 
Unazikubali story za vijana wa BAVICHA?

Katika majimbo ya kanda ya ziwa ambayo CCM wana uhakika ni pamoja na Kahama. Mark my word.

...nakuhakikishia magamba kahama mtapigwa saa mbili na robo asubuhi,na hayo majimbo ya msalala na ushetu mnapumulia mashine ya oxygen.Acha kujiliwaza nyuma ya keyboard nenda field uone.
 
WATANZANIA WAMEAMKA SASA:CCM PEKEE NDIO TEGEMEO


1.-Wamegundua CCM hakuna UDINI
-Ukawa ni UDINI dhehebu la EL na Maaskofu 2 ndio VINARA wao


2.-Wamegundua CCM hakuna UKANDA
-Ukawa sasa UBAGUZI wa KIKANDA unashamiri sana.


3.-Wamegundua CCM tunaongozwa na SERA SAHIHI
-Ukawa ni MAHABA yasiyoeleweka,watu wanalipwa kuhudhuria
mikutano.


4.-Wamegundua CCM inafanya siasa za ki-staaarabu.
-Ukawa makundi ya FUJO yamejitokeza sana,hakuna ustaarabu.


5.-Wamegundua GESI,Utawala BORA utainua UCHUMI wetu
-Ukawa kuna Matajiri 5, watagawana NCHI ili kurudisha pesa
zao.


KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

CCM ni chama cha waislam
CCM kinapendwa kanda ya pwani tu kwa wavaa kofia
Mkapa wa ccm ndie ameasisi siasa za matusi
CCM wanaongoza kwa kubeba watu kwenye malori na kuwalipa hata ushahidi wa video upo
CCM kuna matajiri zaidi ya 100 ambayo wanakula nchii hii.
 
saiv naiona chopa ya vicenti nyerere na lembeli ipo angani inaenda vijijini kusaka kura...hawa jamaa wanaichija ccm huku kahama msalala na ushetu
 
FaizaFoxy kwanini nyinyi wanaccm mnapenda sana kusambaza propaganda za kuwagawanya watanzania,badala ya kutangaza sera zenu...shame on ccm. Kwani mikoa ya kaskazini hawana haki ya kuongoza nchi? Acheni uhasidi wa nyoka. Watanzania wanataka katiba waliyochagua sio porojo za chekechea

Umeongea jambo la msingi sana falcon Mombasa.
 
Last edited by a moderator:
WATANZANIA WAMEAMKA SASA:CCM PEKEE NDIO TEGEMEO


1.-Wamegundua CCM hakuna UDINI
-Ukawa ni UDINI dhehebu la EL na Maaskofu 2 ndio VINARA wao


2.-Wamegundua CCM hakuna UKANDA
-Ukawa sasa UBAGUZI wa KIKANDA unashamiri sana.


3.-Wamegundua CCM tunaongozwa na SERA SAHIHI
-Ukawa ni MAHABA yasiyoeleweka,watu wanalipwa kuhudhuria
mikutano.


4.-Wamegundua CCM inafanya siasa za ki-staaarabu.
-Ukawa makundi ya FUJO yamejitokeza sana,hakuna ustaarabu.


5.-Wamegundua GESI,Utawala BORA utainua UCHUMI wetu
-Ukawa kuna Matajiri 5, watagawana NCHI ili kurudisha pesa
zao.


KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

hey! what are u talking about?
 
Wakuu hali ni tete jimbo la kahama mkoani Shinyanga. Mgombea wake ambae ni mfanyabiashara wa jijini Dar bw.Jumanne kishimba,ametishia kujitoa kuendelea na kampeni kutokana na ukweli kwamba hawezi kushinda!

Kishimba amelalamika kuwa ameachiwa kila kitu afanye mwenyewe na viongozi wa ccm wa wilaya na kata wanaambatana nae mchana,lkn usiku wapo kwa James Lembeli.

Tajiri huyo ambae pia ni mmiliki wa maduka makubwa ya imalaseko amegoma kabisa kuendelea kutapanya fedha zake wakati anajua hatashinda!

Wakati huo huo,mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia chadema James Lembeli amechafua hali ya hewa ktk majimbo jirani ya Ushetu na Msalala kwa kufanya kampeni na chopa ili kusaidia harakati za ukombozi ktk majimbo hayo yaliyo chini ya halimashauri ya mji wa kahama.

Kishimba sio size kwa Lembeli,nilishuhudia kampeni za Lembeli Kakola wakiwa na Vicenti usipime. Magufuri alichambuliwa pamoja na Maige hadi mwanachama mmoja wa CCM alikuwa kajisahau akaja na shirt ya CCM alitoka baruti na yowe kubwa likimfuata pamoja na Vincent kuwakataza watu wamwache kwa vile huenda hana nguo ya kujisitiri. Magufuri wachawi wake ni Lembeli,Mgeja na kamanda Mawazo kama atajikita kutafuta kura kwa kutumia kigezo cha ukabila maana wakipanda jukwaani dakika 5 nyingi washaharibu.
 

Attachments

  • 1443428663522.jpg
    1443428663522.jpg
    56.7 KB · Views: 305
  • 1443428706872.jpg
    1443428706872.jpg
    52.7 KB · Views: 293
  • 1443428734408.jpg
    1443428734408.jpg
    56.1 KB · Views: 290
  • 1443428770251.jpg
    1443428770251.jpg
    39.2 KB · Views: 281
  • 1443428797211.jpg
    1443428797211.jpg
    58.5 KB · Views: 268
  • 1443428827055.jpg
    1443428827055.jpg
    71.4 KB · Views: 264
  • 1443428856816.jpg
    1443428856816.jpg
    52.2 KB · Views: 266
Ushetu CHADEMA walimsimika Bw. Isaya Bukakiye (Mzaliwa wa Kabingo - Kakonko) huyu yuko sawa kwa maneno jukwaani na fedha. Hope kama Lembeli ataendelea kumsaidia anaweza kushinda
Hilo ni tatizo sana,nadhani hata akina lembeli wamegundua hilo ndo maana wameongeza nguvu kubwa sana kumsaidia Isaya. Wasukuma wa maeneo yale wapo mchanganyiko na wanyamwezi ni vigumu kumpa kura mtu asiye na historia ya kuishi huko. Lkn inawezekana km chadema wataendelea na hii nguvu ya ushawishi waliyoiweka..!! Natamani majimbo yote ya kahama yawe chini ya upinzani..!
 
Back
Top Bottom