Recent content by j wa nmb

  1. j wa nmb

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakuu Nafikiria Kupima Daaah

    hahahah we jamaa unanichekesha sana
  2. j wa nmb

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haya Maneno Yanauma Sana

    Kuna tatizo gani mkuu, yamekukuta yapi tena[emoji848]
  3. j wa nmb

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi ndoa ina umuhimu gani zama hizi za dunia ya utandawazi?

    Mambo yamekuendea mrama kwako usidhan na wengine.
  4. j wa nmb

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi ndoa ina umuhimu gani zama hizi za dunia ya utandawazi?

    Ndoa sio lile tendo tu, yapo mambo ya ziada, Mfano Kulea watoto katika maadili mema ya baba na mama ya kumpendeza Mungu. Kuwapatia watoto elimu bora, mavazi malazi na makazi yawasaidie kwa maisha yao ya kesho. kutengeneza mji wenu kuendeleza kizazi bora nk. unadhan ukizaa zaa ovyo haya...
  5. j wa nmb

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bachelor mimi nimedakwa na mke wa mtu

    Ulim block alafu tena akapiga mkaongea[emoji848]
  6. j wa nmb

    JamiiForums Tanzania Maisha yanapokufanya uonee wivu marehemu

    Sure ulipitia mengi,Mungu yupo siku njema yaja. Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
  7. j wa nmb

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wa dhati

    Hahahah wewe jamaa umenichekesha sana,umeandika kwa hisia sana. sasa la kufanya. -Toa zaka na sadaka ikiwa ni mkristo. -Epuka kukopesha ukiwa kwenye biashara. -Epuka wanawake. -Acha kununua vitu ovyo ambavyo havipo kwenye mpangilio. -Weka mikakati ya kukuza biashara kila siko sio uweke ukomo...
  8. j wa nmb

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu: Wanaume hupenda mwanamke malaya kuliko mtulivu. Ndiyo maana malaya wana bahati ya kuolewa mapema kuzidi wengine

    Kwahiyo nini unataka sasa kuwaambia wanawake? wawe malaya? mkeo akiwa malaya ndo utafurahi,huko juu commet za mwanzo wanasema PUMBA.
  9. j wa nmb

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, nikimuacha nitakuwa nakosea?

    Hapo dada tafuta lugha nzuri isiyo elemea upande wowote umwambie awe mwanaume..ili ukiondoka usije jihis kuwa na hatia,huenda atakuelewa tumia tafsida usiweke lugha zitakazo mkwaza na kujenga chuki
  10. j wa nmb

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, nikimuacha nitakuwa nakosea?

    Utakuwa unakosea kama hutojaribu kumshauri uone muitikio wake, nini tofauti ya yeye kuwa single na kuwa nawewe kama hata kushauri kama mwanamke shujaa unashindwa? Mshauri kwanza akigoma hapo sasa waweza chukua maamuzi.
  11. j wa nmb

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulifanyaje kuendelea kumla x gilrsfriend wako mlio achana kwa ugomvi mkubwa

    Lakini pia kumbuka mpenzi wako ni x wa mtu,hembu pia tafakari kama atakuwa anapigiwa hesabu hizi...ukipata jibu basi tambua kuwa kama mlisha shindwana mkaamua kuachana,songa mbele na maisha yako ujenge familia yako,ukaisaidie jamii yako,miaka inaenda haitarudi tena. lakini pia kuna mshahara wa...
  12. j wa nmb

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natangaza vita mpya na kila mwanamke, sitaki mahusiano tena

    Hizi c&p zenu kutoka facebook ndo zinasababisha watu wenye uhitaji kweli wa ushauri humu waishie kuambiwa ni chai.
  13. j wa nmb

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nitumie mbinu gani ili niweze pewa tunda na binti huyu

    Usizini, Mungu hapendi.
  14. j wa nmb

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimwambie hali halisi?

    Jamani tunapopanda tukubali na kuvuna[emoji1787][emoji1787].
  15. j wa nmb

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Life Experience: Jambo gani liliwahi kukutia aibu katika maisha?

    Hapa inamaana baada ya mkanda kukatika suruali ilidondoka ama ulikatika tu
Back
Top Bottom