Recent content by j. uso_86

  1. J

    Ndoa ina mwaka sasa inanishinda, sina hamu ya kufanya tendo la ndoa na mke wangu

    Em tuma picha tuone kama sio kibamiaaa. Uckute unajitetea tuu kumbe wee ndo tatizo
  2. J

    Lowassa atua Mwanza kusaka wadhamini, umati wampokea

    Kwan mweshimiwa wako alipokuja arusha sialikuja na wasaniii karibia mianane ngoma za asili dunia yot
  3. J

    Watoto wasafiri toka Kahama to Singida chini ya chesis

    Hewa ipo mkuu hujawahi ona mifugo mbalimbali inawekwa na safar inasongaa? Japo co ya uakika sanaa na nzur kwa afyaaa
  4. J

    Inakuwaje unamsevu mtu kwenye simu jina lisilo lake?

    Turu juuu yangeu, mangu mpesaa
  5. J

    Watoto wasafiri toka Kahama to Singida chini ya chesis

    Kuna chasses kule chin kwenye propela na difu ilipo ndo wamekutwa huko au ndan ya buti inapokaaa mizigoo? Kama ndan ya but kuna muhusika kawaingizaaa kama kule chin kabisaa cpat picha walikuwa wamejishkiza kwa stail gan maaana basi lenyewe Mghamba kwa kukimbia cjui ilo vumbi watakuwa wameshiba...
  6. J

    Kwa wale mnaongalia na kusikiliza sasa matangazo ya LIVE ya 'Matapeli TV' na 'Matapeli FM'

    Ushamba co tusii ni sifaa ambayo unayoo so nmekusifiaa. Washuaa hawausiki humuu ukileta hzo utajutaaa. Watu wamefanya yao unaleta umbeaa narudia tena we ni mshambaa tenaa co photocopy ni wala turufuu wewe ni originally mshambaaa
  7. J

    Kwa wale mnaongalia na kusikiliza sasa matangazo ya LIVE ya 'Matapeli TV' na 'Matapeli FM'

    Aseee we ni mshambaaa kwanzaaa uzi wako umeuandika kishambengashambegaaa kwan majina ya wahusika huyajui hadi kuyaandika ulivoyaandikaa? Watu wanafanya biashara wanapiga helaaa we kalagha baoo kaliaa kupayukaaa tuuu. Pyeeeeepyeeeee
  8. J

    Arusha hali si shwari kabisa

    Haaaahaaa co mijingaaaa ni watu na mambo zaooo ukiletaaa ukudaaa unapatiwaaa kituu roho inatakaaa
  9. J

    Arusha hali si shwari kabisa

    Arushaaa eshimaa tuu ndo inatakiwaa ukijidai mbabe unajua karate utakula kisu ya koo ufie mbali. Ukijidai na kibastolaa utawahiwa na wenye SMG na ukitishia smg utaviziwaa tuu na we upewe kituako hakunaga kuoneana huku kwetuu tuliozoeaa wala hata hatuon shidaa tena sahv afadhali aman inazid...
  10. J

    Afrika Kusini Vs Afrika

    Co kuwatimua tuuu tuwatifueee kidogo na sisi ili waone uchungu kidogoo
Back
Top Bottom