Recent content by Izia

  1. I

    Kwanini Demokrasia ilishindwa kuleta maendeleo China?

    Yote uliyoropoka si kweli na ni ujinga wako! Demokrasia ni ushirikishwaji wa wananchi katika maendeleo ya nchi yao! Kiongozi ukishindwa kuwashirikisha wananchi wenzako katika ujenzi wa nchi yao lazima upingwe vikali iwe kwa maneno au maandamano na hata kuuawa!
  2. I

    Wadau kupinga Job Ndugai kuwa Mgeni Rasmi kwenye Tamasha la Simba Day ina maana gani?

    Moja ya sumu za kuua michezo nchini ni kuhusisha wanasiasa uchwara!
  3. I

    Swali Fyatu: Utendaji wa Shughuli za Mahakama Unatungwa na Nani na Kwanini?

    Mahakama Tanzania iko mfukoni mwa serikali! Ikifanya fyoko itanyimwa fedha za kujiendesha. Pili kwa kuwa serikali inaendeshwa kichawi kamwe haiwezi kukubali mambo yake yawekwe hadharani! Giza na mchawi ni sawa na inzi na kinyesi!
  4. I

    Polisi wa Tanzania wanasa Malawi wakifuatilia wahalifu

    Hako kabinti kanatakiwa karudi na mimba!
  5. I

    Polisi wa Tanzania wanasa Malawi wakifuatilia wahalifu

    Askari Polisi wanne wa Tanzania wanashikiliwa nchini Malawi baada ya kuvuka mpaka kwa lengo la kuwakamata wahalifu. Askari hao walikuwa na gari aina ya Toyota Landcruise pickup ambalo limeharibiwa na wananchi. Kuharibiwa kwa gari hiyo kulitokea baada ya polisi hao kulitelekeza wakiwakimbia...
  6. I

    Kesi ya Mbowe na Wenzake: Polisi Wazuia watu kuingia kufuatilia, Mawakili wa Utetezi watoka nje. Kesi yarejea na kuahirishwa mpaka 17 Sept

    Nimemshangaa sana huyu kijana wa ITV kutoa taarifa ya uongo kuwa mahakama imeweka utaratibu wa idadi ya watu wanaopaswa kusikiliza kesi ya ugaidi inayowakabili Mbowe na wenzake. Usahihi ni kuwa waliokuwa wameweka utaratibu huo ni Kingai RPC wa Kinondoni ambaye ni shahidi wa Jamuhuri katika kesi...
  7. I

    Waziri Simbachawene: Wanaomchafua Rais Samia mitandaoni watafutwe na kufikishwa Mahakamani

    Pumbavu nimuheshimu kwani mama yangu huyo! Yeye ni mtumishi kama wengine akituzingua naye atazinguliwa! Halafu wewe ndiye unajipotosha wengine tumemsikia live!
  8. I

    Baadaya James Rugemalira kuachiwa huru, Mwanasheria wa IPTL kuendelea kusota rumande mpaka Desemba 23

    Kama serikali imekosa ushahidi kwa zaidi ya miaka minne basi serikali haina ushahidi bali inabaki kutumia mabavu!
  9. I

    Baadaya James Rugemalira kuachiwa huru, Mwanasheria wa IPTL kuendelea kusota rumande mpaka Desemba 23

    Sheria haitoi mwanya wa kudai fidia! Ndiyo sababu Jamuhuri inafanya hivyo bila kigugumizi!
  10. I

    Kwa utawala huu tutegemee Muswada wa Sheria kuzuia wasikilizaji wa kesi Mahakamani kuingia bila kibali na simu

    😁😁😁 Kingayi kaliwa kichwa kawa mdogo kuliko piriton!
  11. I

    Baadaya James Rugemalira kuachiwa huru, Mwanasheria wa IPTL kuendelea kusota rumande mpaka Desemba 23

    Jamuhuri inatumia vibaya sheria ya jinai kuweka watu mahabusu kwa miaka mingi kwa kisingizio cha upelelezi kutokamilika!
  12. I

    Tupiganie Katiba Mpya: Madaraka Matamu Wachonga Mzinga ni kama Wote

    🤣🤣🤣 huyu tuliyenaye ni Miss Utalii!
Back
Top Bottom