mi nina vocha mbili za airtel nimenunua feki nikiingiza wananiambia hizo number hazipo hu c wizi jaman au kuna makampuni tofauti yanayotengeneza vocha za airtel?
wazo zuri sana ila wasiwasi wangu ni kwamba inaweza fika mahali haya makampuni yakaacha kuajiri coze watakuwa wanategemea tu mavolunteers sababu kila mwaka watakuwa wanachukua watu wanaotafuta uzoefu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.