Mhh kwahio kuna watu wakija kukuomba kitu ukagoma kukubali ombi lao kuna kitu kitakukuta
Mbona kama Membe anafosiwa kusamehe
Musiba alipe kwanza ndio aanze kuomba msamaha ndio itajulikana kweli anajutia kosa lake sio kama saizi anavyojaribu kuomba msamaha ili kulinda mali zake.
Nafuta kiswahili mambo gani ya kusoma kwa lugha ya kiswahili darasa la kwanza hadi la saba huku nasoma kiingeleza kama somo na bado kinatutoa knock out alafu mara paah form one masomo yote nasoma kwa lugha ya kiingeleza kutesana tuu huko
Kuna watoto ni watundu na wakorofi pia ila kuwa hivyo tusiwalaumu sana bado ni watoto inabid tujitahid kuwaonya pale tunapoona wanafanya sio
Mtoa mada umeshindwa kumkataza mtoto wa kaka yako kufanya jambo fulani
Huko kwa kaka yako unakuwa mgeni kiasi hicho huyo kuwa kaka yako maana yake huyo...
Pole ndugu ndio masaibu ya dunia,
Kwa mtazamo wangu naona mkeo anaenda kuliwa na wewe kuharibu formation kwa kumkatalia kutoka sio mbaya ila jua kama ni kweli amedhamiria kufanya hivyo na hapo ndio tatizo lazima atakuja pata nafasi ya kuchepuka
Unaweza kupitia simu yake ila lazima atakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.