Naimani tutafika ila yatupasa tutumie busara sana kwa kauli za wanasiasa na viongozi wa dini maana kila mmoja na mtazamo wake na uwezo wake wa kupambanua Mambo.
Sent from my Nexus 6 using JamiiForums mobile app
Tuliowaamini nakuwapa dhamana ya kuhakikisha swala la kusimamia hakia nap wamekuwa wanasiana Sasa Kila kitu kimekuwa ni siasa tu, yatupasa sana Tuwe makini maana watetezi ni wachache na waaribifu ni wengi lazima tuujue ukweli ndio tuseme Jambo Ila sio kwakuwa flani kasema maana hata Hugo...
Hayo yote hayasaidii jamii sio gwajima, Bashite Wala diamond na Kayla Manisha ya Kila siku huwezi kujua mipasho hadi uwe unaskiliza au unafuatilia so tufanye yanayotuhusu tusicheze ngoma ya watu wengine, tunamengi yakufanya zaidi ya haya tunayoyashabikia Kila kukicha.
Acha vitishonendavkonyagi kaangalie watu wangapi hawana kazi, kuna mashine imeletwa mpya imefanya kazi miezi miwili tu leo wanaipeleka wapi? Acha vitisho wewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.