Then ni bora wawe wanatoa taarifa mapema kwamba mshahara utachelewa watu wajibane mbna tanesco huwa wanatoa taarifa ya kukatika kwa umeme Yale matambo yote ya tra kuvuka lengo la kukusanya kodi yameishia wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.