Recent content by ivanor kababu

  1. I

    Mishahara ya watumishi serikalini mwezi huu kunani?

    Daaaa hali zilikuwa ngumu jamani
  2. I

    Mishahara ya watumishi serikalini mwezi huu kunani?

    Then ni bora wawe wanatoa taarifa mapema kwamba mshahara utachelewa watu wajibane mbna tanesco huwa wanatoa taarifa ya kukatika kwa umeme Yale matambo yote ya tra kuvuka lengo la kukusanya kodi yameishia wapi?
  3. I

    Toyota Crests Gx 100 Inauzwa Milioni 3

    Kama upo serious Nina 2 na nusu
  4. I

    Toyota Crests Gx 100 Inauzwa Milioni 3

    Engine ni cc ngapi mkuu halafu nipigie picha ya bampa la mbele
  5. I

    Mishahara ya watumishi serikalini mwezi huu kunani?

    Bora kuwa mfungwa ulaya kuliko kuwa mfanyakazi wa serikali tanzania
  6. I

    Mishahara ya watumishi serikalini mwezi huu kunani?

    Namkumbuka sana kikwete jamani
  7. I

    Ukistaajabu ya Kikwete utayaona ya Magufuli

    Magufuli shikilia button ivo ivo
  8. I

    Mizengo Pinda ni mtoto wa mkulima kweli

    Tatizo ni mpole sana na ile kauli yake ya wapigwe tu ndo ilimtoa kwenye ramani
  9. I

    Wachina waburuzwa kizimbani kwa kukwepa kulipa kodi

    Kwa magufuli kila goti litapigwa
Back
Top Bottom