Nape yale ya akina akina Lipumba na kontena la visu Mahita hadi leo sitamsahau alivyo kunja ile sura kutuaminisha but hadi nakaribia kufa sijawahi sikia watuhumiwa walikuwa akina nani.! na yale ya ugaidi wa akina Rwakatare yaliishiaga wapi.?! maana ipo siku ukidhani watz tunasahau tena utakuja...
"CHADEMA ni banadamu tu kama CCM na inawezekana kabisa tukichukua madaraka tukafanya vibaya kuliko hata ccm kwa sababu wote tumelelewa na mfumo ule ule mawazo yaleyale"
HAPA NDIPO KIINI CHA MIMI KUKUONA KAMA UMECHEMSHA SANA.
KWAMBA KWA HAYA WANAYO YAFANYA WATAWALA WA CCM CDM IKACHUKUWA MADARAKA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.