Recent content by Itonjanda

  1. I

    Rais Magufuli aache siasa chonganishi. Mbunge gani wa CHADEMA alimuomba amteue?

    KWA KWELI KATI YA MAMBO AMBAYO HUYU MH. NASHINDWA KUMWELEWA NI TABIA YAKE YA UCHONGANISHI. ANA VIMANENO VYA KUKERA SANA NA KUWAFANYA WATU WACHUKIANE. AM SO SORRY, I HATE THIS HABIT KWA KWELI. RAIS KUWA MCONGANISHI? NI MBAYA SANA. Tafakari...!!
  2. I

    Tunahitaji 'Kichwa cha Yohana'

    NI BAHATI MBAYA SANA HADHIRA YAKO IMESHINDWA KUELEWA MAUDHUI YA ANDIKO LAKO. UMETUMIA KISA CHA HERODE NA BINTIYE HERODIA KUMSHAURI MH. RAIS ACHUKUE MAAMUZI MAGUMU YA KUFANYA KILE MOYO WAKE HAUPENDI KUFANYA, KUTENDA KILE DHAMIRI YAKE HAIFURAHII KUKITENDA...KUSIKILIZA MAWAZO YA ASIO WAPENDA...
  3. I

    Maoni: Bunge lijadili suala la wizi wa madini yetu,la sivyo bunge halina maana

    Nchi kilichobaki ni kusubiri wabunge wa ccm wafumbuliwe macho, akili na fahamu zao waweze kusimama kwa imani zao na kujitenga na unafiki. Vijana wa ccm wafumbuliwe macho, akili na fahamu zao waweze kusimama kwa imani zao, wajitenge na unafiki, waishi kwa akili zao bila kutegeme vyeo vya uteule...
  4. I

    Benedicto Mutungirehi wa CHADEMA ajiunga na CCM

    Hebu fanya marekebisho kidogo kwenye heading yako. Bwana Benedicto Mutungirehi hakuwahi kuwa mbunge kwa tiketi ya chadema, bali mbunge wa TLP ya Lyatonga Mlema kabla ya mwaka 2015 kuhamia na kugombea kwa tiketi ya chadema.
  5. I

    Nusrat Hanje wa CHADEMA alistahili ubunge EALA

    Hilo jina lako lingenasibu vizuri kama ungelitendea haki kwa kuandika hivi: rendez-vous kwa mujibu wa wenye lugha.
  6. I

    Nusrat Hanje wa CHADEMA alistahili ubunge EALA

    Juliana Shonza muda mfupi tu baada ya kujiunga na ccm akapewa ubunge viti maalumu, kumbe ni kwa sababu anawapanulia mambomambo wazee wa ccm...!!?? Akili za vijana wa ccm mnazijua wenyewe nyinyi...!! Tafakari...!!
  7. I

    Mhariri wa Gazeti la The Guardian ameonesha uzalendo

    Iwe ya wajinga mara ngapi...!!?? Tafakari...!!
  8. I

    Nyama

    Lilikuwa NICKNAME ya Mkuu wangu wa Shule pale Kiumeni (Milambo High School) miaka ya 1980-1992...!! FUPA Tafakari...!!
  9. I

    Mapya kuhusu watumishi wa umma kwenda kusoma kwa ajili ya kupanda madaraja na vyeo

    Nimekimbia hapa kuona hayo mapya yaliyoibuka...kumbe...daaaaaahhhhh...!!
  10. I

    Tanzania ya Mwalimu J.K Nyerere mpaka Mh J.P Magufuli

    Hili andiko ungelianzishia uzi unaojitegemea ingependeza sana ila kwa kuwa umeamua kuingilia mjadala uliokugusa nakupa hongera...!! Tafakari...!!
  11. I

    Tanzania ya Mwalimu J.K Nyerere mpaka Mh J.P Magufuli

    Mkuu, ukisoma andiko huku ukiwa na muegamo fulani huwezi elewa ujumbe wa andiko husika. Kwenye kipengele kilichokukwaza kuna neno WALAU... huenda hilo neno hulielewi maana yake au mtazamo wa kiitikadi umekupofusha uelewa hata ukashindwa kuelewa...!! Lakini pia, nilitegemea uelewe kuwa hakuna...
  12. I

    Tanzania ya Mwalimu J.K Nyerere mpaka Mh J.P Magufuli

    Haaaaaa haaaaaaa haaaaaaaa...mkuu Mayala, umemiss matobholwaaaaaa...!! Chakula asili napenda sana...!!
  13. I

    Tanzania ya Mwalimu J.K Nyerere mpaka Mh J.P Magufuli

    Nchi ya Tanzania iliyotokana na muungano wa nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar mwaka 1964 mwezi wa Aprili tarehe 26 imetawaliwa au kuongozwa na marais 5 au awamu 5 za urais. Katika awamu zote hizo tumeshuhudia awamu moja tu ya 2 ikiongozwa na mtanzania kutoka Zanzibar, ingawaje hilo si sehemu...
Back
Top Bottom