Recent content by Itete njiwa

  1. I

    Joseph Kony yuko wapi?

    Vp kuhusu Laurent Nkunda kiongozi wa M23 aliyekamatwa na Rwanda hatima yake ikoje
  2. I

    Ndege 8 za Shaheed zaangushwa na jeshi la Ukraine

    Unasahau kuwa iran inamsaidia Urusi
  3. I

    Wataalam wa Tally, Excel, QuickBook na Hesabu mtusaidie ile 100.01% ya Chebukati imekaaje?

    Madhara ya kukaribishia hayo. Mfano unakuta Odinga ana 48.846 wao wakaona iwe 2 decimal places.
  4. I

    Alichofanya Tundu Lissu, ndicho alichofanya Zitto Kabwe, kwa Rais Samia

    Samia ndio katuma ujumbe wake kwa lissu ili waonane. Lissu akawaambia kapangeni rariba
  5. I

    Business Plan Frame Work Shs 6000, Kuandikiwa Business Plan 20,000

    Naomba tuwasiliane nahitaji hiyo huduma
  6. I

    Business Plan Frame Work Shs 6000, Kuandikiwa Business Plan 20,000

    Kaka nahitaji business plan Naomba tuwasiliane
  7. I

    Lissu na Lema hawataki Mbowe atoke gerezani?

    Wer Wewe ni kada wa ccm,na Samia ndio MWENYEKITI wako ndio mtu aliyemuweka ndani mbowe,Kama una uchungu mwambie Samia amtoe
Back
Top Bottom