Ndege 8 za Shaheed zaangushwa na jeshi la Ukraine

Ndege 8 za Shaheed zaangushwa na jeshi la Ukraine

Vichekesho kabisa, Sasa Ukraine inajisifu kudungua Drones 8 za kamikaze zenye thamani ya karibia $ Elfu 20 sawa na Tshs.50,000,000/= kwa kila moja, kombora la kudungua 2,000,000,000,/= tena za mkopo.
Hapa Ukraine na Nato yake plus US wanapata hasara kubwa.
Mwanzo Urusi ilitumia makombora ya gharama kubwa kudhoofisha mifumo ya anga ya Ukraine pamoja na miundombinu nyinginezo. Sasa hivi anatumia Kamikaze ambazo ni chipper weapon kwa Vita hivi vya muda mrefu hili adhoofishe Ulaya.
 
Vichekesho kabisa, Sasa Ukraine inajisifu kudungua Drones 8 za kamikaze zenye thamani ya karibia $ Elfu 20 sawa na Tshs.50,000,000/= kwa kila moja, kombora la kudungua 2,000,000,000,/= tena za mkopo.
Hapa Ukraine na Nato yake plus US wanapata hasara kubwa.
Mwanzo Urusi ilitumia makombora ya gharama kubwa kudhoofisha mifumo ya anga ya Ukraine pamoja na miundombinu nyinginezo. Sasa hivi anatumia Kamikaze ambazo ni chipper weapon kwa Vita hivi vya muda mrefu hili adhoofishe Ulaya.
Labda wanatumia reserve ya pesa za urusi na warusi zilizokuwa huko kwenye mabank yao maana wamezishikilia huku wakisema ni misaada yao.
 
Labda wanatumia reserve ya pesa za urusi na warusi zilizokuwa huko kwenye mabank yao maana wamezishikilia huku wakisema ni misaada yao.
Ila SHERIA za Kimataifa haziruhusu, pia Mali zao Kama Ndege, Viwanda n.k vilivyo cremlin vipo salama.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
View attachment 2406532

Mkuu wa jimbo la Dnepropetrovsk Valentin Reznichenko amesema kwamba, mifumo ya kulinda anga ya Ukraine iliangusha ndege nane zisizo na rubani za shaheed , katika jimbo la Dnepropetrovsk .

Kulingana na Reznichenko, zote ziliangushwa katika eneo la Nikopol.

Habari zinazo tolewa na wasemaji wa jeshi la Zelensky mara nyingi ni za kutunga tu,wakati mwingine wanaleta habari za kuwatia matumaini raia wa Ukraine walio kwisha kata tamaa.

Kijeshi mbinu zinazo tumika katika mashambulizi ya kamikaze Drones ni kutuma drones nyingi kwenye highly valued target kwa imani kwamba hata zikitunuliwa kuna chache zitafikia target na kuilipua - that is the idea behind this smart tactics, therefore kutungua baadhi hilo tu haliwezi kuwasaidia chochote Ukraine zaidi ya kupoteza/deplete ammunitions/roketis zao ya gharama kubwa kwa kutungua vi-drones vya bei ndogo.
 
Habari zinazo tolewa na wasemaji wa jeshi la Zelensky mara nyingi ni za kutunga tu,wakati mwingine wanaleta habari za kuwatia matumaini raia wa Ukraine walio kwisha kata tamaa.

Kijeshi mbinu zinazo tumika katika mashambulizi ya kamikaze Drones ni kutuma drones nyingi kwenye highly valued target kwa imani kwamba hata zikitunuliwa kuna chache zitafikia target na kuilipua - that is the idea behind this smart tactics, therefore kutungua baadhi hilo tu haliwezi kuwasaidia chochote Ukraine zaidi ya kupoteza/deplete ammunitions/roketis zao ya gharama kubwa kwa kutungua vi-drones vya bei ndogo.
Hizo drones zinaangushwa kama nzige, kama ni kuwapa moyo raia wa ukraine sasa ni kwann russia anaendelea kukodi silaha toka Iran?

Jana katangaza wafungwa waliokuwa wamefungwa kwa makosa ya kula unga na madawa ya kulevya waandikishwe wende machinjioni, yoote haya ni ya nn?

Ukiambiwa jiambie awal russia alitangaza saa 72 kuisambaratisha ukraine kapatwa na nini leo miezi 8 imeisha anaomba msaada wa silaha Iran
 
Hizo drones zinaangushwa kama nzige, kama ni kuwapa moyo raia wa ukraine sasa ni kwann russia anaendelea kukodi silaha toka Iran?

Jana katangaza wafungwa waliokuwa wamefungwa kwa makosa ya kula unga na madawa ya kulevya waandikishwe wende machinjioni, yoote haya ni ya nn?

Ukiambiwa jiambie awal russia alitangaza saa 72 kuisambaratisha ukraine kapatwa na nini leo miezi 8 imeisha anaomba msaada wa silaha Iran

Wakati mwingine msiwe mnauliza maswali mengine ambayo hayana mantiki hata kidogo - ni wapi kwa mfano: Putin aliwahi kusema atakuwa amemaliza operarion yake nchini Ukraine within 72 hour,wapi, leta ushahidi?

Nani ambaye hajui kwamba madai hayo yalizalishwa na vyombo vya habari vya mataifa ya magharibi for political gain.

Mnao dai eti Putin kakwama ndio maana anachukua muda mrefu kupigana huko Ukraine - mkihojiwa,je,Wamerikani walichukua muda gani kupigana huko VietNam,je,mwisho wa siku walihambulia nini kama sio kushindwa na aibu tele - leo hii hilo hamulisemi kwamba US ilipigana kwa miaka 10 na wakashindwa.

Suala la kununua silaha kutoka mataifa mbali mbali, kwa nini mnaona ajabu Urusi kununua silaha kutoka Iran, kwa mfano - na hiyo mnaichukulia kama ni hoja ya maana kweli? Mbona Amerika ununua silaha na mahitaji mengine ya kijeshi kutoka mataifa tofauti mfano: Brazil, Israel,Norway nikiwambia wakati mwingine US ununua kutoka Urusi tutabishana usiku kucha, mtasema: aah, haiwezekani Amerika haiwezi kununua silaha na mahitaji mengine ya kijeshi kutoka Urusi - ndio imani zenu zilivyo, mnafikiri Amerika inajitosheleza kwa kila kitu - wakati hiyo si kweli hata kidogo.
 
Hilo Ni anga Malaya kila takataka inapelekwa kujaribiwa hapo Ni aibu na huzuni kwa wansotamba eti sheaheed. drone 8 zimedunguliwa, sansana watabadili mbinu na kuongeza mzigo mkubwa.
 
Wakati mwingine msiwe mnauliza maswali mengine ambayo hayana mantiki hata kidogo - ni wapi kwa mfano: Putin aliwahi kusema atakuwa amemaliza operarion yake nchini Ukraine within 72 hour,wapi, leta ushahidi?

Nani ambaye hajui kwamba madai hayo yalizalishwa na vyombo vya habari vya mataifa ya magharibi for political gain.

Mnao dai eti Putin kakwama ndio maana anachukua muda mrefu kupigana huko Ukraine - mkihojiwa,je,Wamerikani walichukua muda gani kupigana huko VietNam,je,mwisho wa siku walihambulia nini kama sio kushindwa na aibu tele - leo hii hilo hamulisemi kwamba US ilipigana kwa miaka 10 na wakashindwa.

Suala la kununua silaha kutoka mataifa mbali mbali, kwa nini mnaona ajabu Urusi kununua silaha kutoka Iran, kwa mfano - na hiyo mnaichukulia kama ni hoja ya maana kweli? Mbona Amerika ununua silaha na mahitaji mengine ya kijeshi kutoka mataifa tofauti mfano: Brazil, Israel,Norway nikiwambia wakati mwingine US ununua kutoka Urusi tutabishana usiku kucha, mtasema: aah, haiwezekani Amerika haiwezi kununua silaha na mahitaji mengine ya kijeshi kutoka Urusi - ndio imani zenu zilivyo, mnafikiri Amerika inajitosheleza kwa kila kitu - wakati hiyo si kweli hata kidogo.
Mkuu utapata shida sana kutaka ukweli maneno aliyosema putin na kuhitaji vyanzo
1. Putin ukitoa hizo saa 72 kuisambaratisha ukraine lakini pia baada alitaja miezi 6 baada kuona hali ni ngumu zaidi ambapo sasa ni miezi 8 ishakatika
2. Putin majimbo aliyopiga kura na kuyakwapua na kupitisha sheria akiwa Kremlin alisema atayalinda kwa nuclear na kwamba ukiyashambulia basi utakuwa umeshambulia russia na hili endelea kusubiri chanzo.
3. Putin alisema atashambulia kitovu cha nchi za ulaya iwapo Sweden na Finland wakipeleka ombi la kujiunga na Nato na ombi lilifanywa mchana kweupe na juzi tayari hizo nchi zimethibitishwa kuwa na vigezo vya kujiunga ambapo sasa hakuna namna Finland na sweden kuwa mwanachama wa NATO.
4. Pia Ukraine walipeleka ombi la kujiunga na ulaya ambapo kabla putin alisema atatumia nuclear likifanyika hilo, naunganisha na lile ombi la Nato juzi juzi pia lipo kwenye hatua za Nato Ukraine kujiunga.
5. Putin alisema akigundua Nchi inaisaidia silaha Ukraine ataishambulia kwa nuclear lakini US wakamjibu mchana kweupe sisi tunaisaidia silaha Ukraine na tutendelea kuisaidia ardhini na mbinguni yote haya utahitaji vyanzo.

Na yako mengi putin amesema lakini hana namna kuyafanyika kazi nguvu hana kushughulikia maneno yake mdomoni yaliyomtoka, putini alikuwa anaishi kwa maneno mdomoni tu na alipokuja kuvamia Ukraine ndio amejianika uwanjani kwamba kumbe hana lolote sasa miezi miezi 7 anaazima silaha Iran.

Msururu wa vifaru vilivyokuwa vimeongozana toka gongo la mboto hadi kariakoo leo uko wapi ule msururu? alivamia Kyiv kwa mbwembwe na kuonya jeshi ya Ukraine lijisalimishe na alitoa mpaka masaa na dakika lakini mbona aliamua kurudi zake donbas? muulize putin hasa sababu ilikuwa ni nini kuacha Kyiv, Zelensky anadunda Kyiv muda wote.

Unavyosema wewe US ilishindwa Vietnam baada ya muda kadhaa ndio unataka kutuambia na Russia imeshindwa Ukraine baada ya miezi 8 kwasabab US ilishindwa vietanm?
 
Back
Top Bottom