Mimi mwenyewe nilikuwa sijawahi kufikiria kuwa mrengo wowote wa chama lakini najikuta navikubali vyama vya upinzani kutokana na madhila ya ukandamizaji wanayofanyiwa na watawala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vijana inabidi wajifunze kupitia hawa waafhirika kwani vijana wengi wanafuta mkumbo na kuona ulevi ni sifa
Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.