Recent content by Itapendeza900

  1. Itapendeza900

    Yuko wapi Sheikh Mkuu wa Dar?

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  2. Itapendeza900

    Vifo vya majini! Namna nyingine ya kuongeza mapepo

    Kwa yule ambae amefariki Kwa kunyongwa na akatelekezwa porini ktk miti mirefu na baadae ndugu mkakuta baadhi tu ya mifupa aijulikani km aliliwa na wanyama au mwili wake umearibika tu huyu roho yake inaenda wapi kuwa pepo la wapi.
  3. Itapendeza900

    Tofauti ya Magufuli na Uhuru Kenyata katika hoja zinazofanana

    Kabisa,uko kwingine mm sijaona ndio nimeona Kwa huyu.so mm naona poa.
  4. Itapendeza900

    Mambo 10 muhimu kwa wazazi/walezi na wazazi watarajiwa

    Iyo mbili mkuu imenigusa,maana wangu ana miaka miwili anajifunza kuongea siku moja nimetoka kuoga kenyewe kalikuwa kamelala, ghafla akaamka nakusema kako iyo,kako iyo,akimaanisha tako,yaani watoto wetu Hawa Kwa kweli tufanye kazi kuwasimamia ktk ukuaji na malezi yao.
  5. Itapendeza900

    Sanaa ya kifo

    Duuuu,natamani kuifikia hiyo PhD.
  6. Itapendeza900

    Sanaa ya kifo

    Swali zuri sana tusubili majibu.
  7. Itapendeza900

    Mbowe achunguzwe kwa vifo vya Daniel John na Aquilina

    Kila mmoja anatetea upande wake, ingekuwa wameandamana ccm hata bila kibali yangekuwa ya halali ila kwakuwa chama pinzani naona baba jeska akawatuma mkamshuti mbowe Kwa haraka na pupa zenu mkasababisha yaliyotokea,hivi mngewaacha tu waende uko waendako kingealibika nini?na ni wapumbavu wa fisiem...
  8. Itapendeza900

    NILICHOKIONA RITA AISEE VUDUME MKAE VIZURI

    Hao wapo wengi sana,wengine wanataka kubadilisha majina na wanakataliwa,uzuri Rita wako vzr sana,yaani majina uliyoandika ktk tangazo lako siku unajifungua na ukasaini basis ujue hayatobadilishwa kamwe,yaani wananyooshwa kweli wanawake wenye nia ovu.
  9. Itapendeza900

    Kuna watu wanapitia majaribu makubwa maishani ebu ona kisa hiki

    Duuuu hili tusi zuri maana umempumzisha mama kidog.
  10. Itapendeza900

    Mtoto ang'atwa na nyoka na aponea kufa kwa ujinga wa mzazi

    [emoji23] [emoji23] kumbe aliruhusiwa kutugonga,ila uwa achagui mahali pa kung'ata popote utakapomkalia vibaya anakutenda si unaona huyo kamgonga kidoleni.
  11. Itapendeza900

    Ushauri: Nitumie njia ipi kumshawishi mama aniambie baba yangu mzazi?

    Kabisa,mwenyewe Nina miaka hiyoiyo na bab yangu simjui,sijawai muona ila simtafuti,maana sasa nimeshakuwa mamayangu ameshaangaika vya kutosha kunilea kunitunza Leo hii nianze kumsumbua tena eti baba yuko wapi!?km huyo baba anakupenda nae si angekutafuta.
  12. Itapendeza900

    Watanzania wanaomtumia matatizo yetu Mange Kimambi kwa kujificha ndiyo njia ya kuyatatua kweli?

    Nikweli acha tuendelee na uwo mwendo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Back
Top Bottom