NILICHOKIONA RITA AISEE VUDUME MKAE VIZURI

NILICHOKIONA RITA AISEE VUDUME MKAE VIZURI

Wengine wanakua nakadi za kliniki zaidi ya moja kwa majina ya baba tofauti.nihatari
 
Kama hujui jina la Mama ndio unaweza danganywa
Jina la Mama likishaandikwa kule ni ngumu kupata cheti Cha pili
Labda mama adanganye jina lake
 
Sijaelewa kbs au hii PHD yang ni fake nn?
Mbona inaeleweka kabisa, ni hivi Mwanamke huyo aliyekutana nae anataka kuwa na vyeti tofauti yaani zaidi ya kimoja, vyenye majina tofauti ya BABA. Ishu kubwa ni vyeti na majina ya baba tofauti, yaani anaenda kwa baba huyu anamwambia wewe ndio baba yake, anaenda kwa mwingine anamwambia wewe ndio baba yake kama unabisha cheti hiki hapa.

Onyo lake ktk kichwa cha habari ninkwa wanaume, tusikurupuke kuwa ndio baba wa mtoto kisa umeonyeshwa cheti chenye jina lako.
 
Mbona inaeleweka kabisa, ni hivi Mwanamke huyo aliyekutana nae anataka kuwa na vyeti tofauti vya mtoto vyenye majina tofauti ya BABA. Ishu kubwa ni vyeti na majina ya baba tofauti, yaani anaenda kwa baba huyu anamwambia wewe ndio baba yake, anaenda kwa mwingine anamwambia wewe ndio baba yake kama unabisha cheti hiki hapa.

Onyo lake ktk kichwa cha habari ninkwa wanaume, tusikurupuke kuwa ndio baba wa mtoto kisa umeonyeshwa cheti chenye jina lako.
Mbona wewe nimekuelewa mkuu

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Basi katika fatilia cheti cha kuzaliwa cha mwanangu nilichokiona kilinistua sana mpaka nikaamua Fanya uchunguzi usio rasmi katika ofisi za Rita mbeya.
Nikiwa nasubiliankukabidhiwa cheti change,ghafla anaingia Dada mmoja akiwa kabeba mtoto asiezidi hata Mwaka,
Anauliza taratibu za kupata cheti cha mwanae,anaelekezwa kuwa cheti cha kichanga hicho ni bure aende kwenye hospital au kituo chochote cha wazazi atapewa ila abebe na kadi za kliniki za mtoto.
Anapumua kwa nguvu kisha anasema aisee naomba tu nisaidie unipatie.anakataliwa kisha anatoka nje nikiwa natoka nikamkuta nje,akaanza kuniuliza maswali ambayo yakafanya nimbaini kuwa alikuwa na nia ovu.
Nilichogundua toka kwa Dada yule ni kuwa mwanae ana baba zaidi ya mmoja.na pale kuna baba alishaona Nina la kichanga na sasa anatafutiwa baba mwingine nae cheti.nilimuuliza una kadi ya kliniki akasema hana.hospital kadi hawakukupa jibu nimepoteza
Kengele ya hatari ikalia nikambana zaidi akafunguka kwa kuwa nilimuaid kumsaidia ili aniambie ukweli.baada ya kumbain nikamwambia nikujute hapo kisha nikachapa raba
Hao wapo wengi sana,wengine wanataka kubadilisha majina na wanakataliwa,uzuri Rita wako vzr sana,yaani majina uliyoandika ktk tangazo lako siku unajifungua na ukasaini basis ujue hayatobadilishwa kamwe,yaani wananyooshwa kweli wanawake wenye nia ovu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom