Recent content by itakiamo

  1. itakiamo

    JamiiForums Tanzania Teknolojia haiwezi kuzuilika, tunakoelekea kutakuwa na simu zinazotumia internet ya satelaiti hata internet ya minara ya mitandao ya simu ikizimwa

    mbona zipo sana tena tangu miaka ya tisini, zinatumika sana na hawa drug cartels
  2. itakiamo

    JamiiForums Tanzania MAC Pharmacy ni nani?

    Asante
  3. itakiamo

    JamiiForums Tanzania MAC Pharmacy ni nani?

    MAC Pharmacy ni nani? Kwa hapa Dar es salaam Kila Kona utakutana na hizi pharmacy zimeandikwa MAC Pharmacy, ana cheo chochote MSD?
  4. itakiamo

    JamiiForums Tanzania Je, Pikipiki za Umeme (EV) ndio Mkombozi wa Kudumu dhidi ya Kupanda kwa Bei ya Mafuta Tanzania?

    Hii pikipiki nilipanda kama abiria kile kipindi Cha maandamano 29 October Hadi November 2, nilikuwa nauguza , kipindi Hilo bodaboda walipandisha sana Bei lakini huyo jamaa alikuwa ananifanyia kwa nauli ambayo ipo fair, Ina nguvu kama bodaboda nyingine ila utaigundua ipo tofauti kwasababu ya sauti
  5. itakiamo

    JamiiForums Tanzania Msaada Njia nzuri kumlipa Supplier China

    unataka kutuma Yuan ngapi, muombe supplier Alipaycode au WeChat pay code
  6. itakiamo

    JamiiForums Tanzania Maisha ya wasanii wetu nyuma ya pazia

    inawezekana aisee
  7. itakiamo

    JamiiForums Tanzania Msaada Njia nzuri kumlipa Supplier China

    nitafute Mimi, malipo ni ndani ya dakika 40, nitumie Alipaycode au WeChat pay code tu
  8. itakiamo

    JamiiForums Tanzania Maisha ya wasanii wetu nyuma ya pazia

    Asante kaka, umeongezea nyama m. Maisha ya wasanii nyuma ya pazia yanatuachia mashaka
  9. itakiamo

    JamiiForums Tanzania Maisha ya wasanii wetu nyuma ya pazia

    🧵 TAFAKURI: Maisha ya Wasanii Nyuma ya Pazia – Kuna Nini Kinaendelea? Kuna jambo huwa linanikaa kichwani kila mara ninaposikia habari za wasanii kufariki katika mazingira ya kutatanisha. Sio kwa lengo la kuhukumu, bali kujiuliza tu… je, tunawajua kweli hawa watu tunaowashangilia kila siku...
  10. itakiamo

    JamiiForums Tanzania Ushauri / Ujumbe kwa JWTZ

    Kutokuwa Tanzania haihalalishi Kuwa umesoma shule ya ajabu, jina tu limekaa kimchongo kama open school
  11. itakiamo

    JamiiForums Tanzania Ushauri / Ujumbe kwa JWTZ

    Kuna watu mmesoma shule za ajabu Emma high school ndo takataka gani?
  12. itakiamo

    JamiiForums Tanzania Ushauri / Ujumbe kwa JWTZ

    NAPENDA KUWASILISHA MAPENDEKEZO KUHUSU JINSI JWTZ INAVYOWEZA KUREJESHA NA KUIMARISHA IMANI YA JAMII KUPITIA MAUDHUI YA FILAMU NA TAMTHILIA (MOVIES/SERIES). Kwa kuzingatia nafasi kubwa ya sanaa katika kuelimisha na kuunganisha jamii, napendekeza JWTZ itengeneze series mbili hadi tatu zenye lengo...
  13. itakiamo

    JamiiForums Tanzania Tunauza na kutengeneza Pump na mashine kama genereta za viwandani

    Je, unatafuta wataalamu wa pump na mashine? Usitafute mbali: Pump and Machinery Expert tupo kwa ajili yako. Tunajihusisha na kuuza na kutengeneza pump, pamoja na vifaa vingine vya mashine kama jenereta na mashine za viwandani. WhatsApp / Simu: +255 755 18 48 73 Tunapatikana: Kariakoo na...
Back
Top Bottom