Nipo kisiwa cha unguja Bado sijapata direction, ni sehemu gani hapa naweza nunua potassium, please isiwe shamba, naombeni maelekezo hususani hapa mjini magharibi
Kama kuna mtu au watu waliopo karibu na Diva The Boss, ningeshauri wawe karibu naye zaidi katika kipindi hiki na wampatie usikivu, ushauri na msaada wa kihisia.
Kutokana na baadhi ya viashiria vinavyoonekana hadharani, kuna dalili zinazoweza kuashiria kuwa anapitia changamoto kubwa za kihisia...
Hii pikipiki nilipanda kama abiria kile kipindi Cha maandamano 29 October Hadi November 2, nilikuwa nauguza , kipindi Hilo bodaboda walipandisha sana Bei lakini huyo jamaa alikuwa ananifanyia kwa nauli ambayo ipo fair, Ina nguvu kama bodaboda nyingine ila utaigundua ipo tofauti kwasababu ya sauti
🧵 TAFAKURI: Maisha ya Wasanii Nyuma ya Pazia – Kuna Nini Kinaendelea?
Kuna jambo huwa linanikaa kichwani kila mara ninaposikia habari za wasanii kufariki katika mazingira ya kutatanisha. Sio kwa lengo la kuhukumu, bali kujiuliza tu… je, tunawajua kweli hawa watu tunaowashangilia kila siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.