Recent content by itakiamo

  1. itakiamo

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kumwaga raundi ya pili

    Kapime kisukari
  2. itakiamo

    JamiiForums Tanzania Zanzibar ni sehemu zipi wanauza potassium

    Asante boss
  3. itakiamo

    JamiiForums Tanzania Zanzibar ni sehemu zipi wanauza potassium

    Nipo kisiwa cha unguja Bado sijapata direction, ni sehemu gani hapa naweza nunua potassium, please isiwe shamba, naombeni maelekezo hususani hapa mjini magharibi
  4. itakiamo

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Watu walio karibu na Diva wampatie usikivu, ushauri na msaada wa kihisia

    Anazidi kuharibu huyu Dada , waliopo karibu nae wamsaidie
  5. itakiamo

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Watu walio karibu na Diva wampatie usikivu, ushauri na msaada wa kihisia

    Kama kuna mtu au watu waliopo karibu na Diva The Boss, ningeshauri wawe karibu naye zaidi katika kipindi hiki na wampatie usikivu, ushauri na msaada wa kihisia. Kutokana na baadhi ya viashiria vinavyoonekana hadharani, kuna dalili zinazoweza kuashiria kuwa anapitia changamoto kubwa za kihisia...
  6. itakiamo

    JamiiForums Tanzania Teknolojia haiwezi kuzuilika, tunakoelekea kutakuwa na simu zinazotumia internet ya satelaiti hata internet ya minara ya mitandao ya simu ikizimwa

    mbona zipo sana tena tangu miaka ya tisini, zinatumika sana na hawa drug cartels
  7. itakiamo

    JamiiForums Tanzania MAC Pharmacy ni nani?

    Asante
  8. itakiamo

    JamiiForums Tanzania MAC Pharmacy ni nani?

    MAC Pharmacy ni nani? Kwa hapa Dar es salaam Kila Kona utakutana na hizi pharmacy zimeandikwa MAC Pharmacy, ana cheo chochote MSD?
  9. itakiamo

    JamiiForums Tanzania Je, Pikipiki za Umeme (EV) ndio Mkombozi wa Kudumu dhidi ya Kupanda kwa Bei ya Mafuta Tanzania?

    Hii pikipiki nilipanda kama abiria kile kipindi Cha maandamano 29 October Hadi November 2, nilikuwa nauguza , kipindi Hilo bodaboda walipandisha sana Bei lakini huyo jamaa alikuwa ananifanyia kwa nauli ambayo ipo fair, Ina nguvu kama bodaboda nyingine ila utaigundua ipo tofauti kwasababu ya sauti
  10. itakiamo

    JamiiForums Tanzania Msaada Njia nzuri kumlipa Supplier China

    unataka kutuma Yuan ngapi, muombe supplier Alipaycode au WeChat pay code
  11. itakiamo

    JamiiForums Tanzania Maisha ya wasanii wetu nyuma ya pazia

    inawezekana aisee
  12. itakiamo

    JamiiForums Tanzania Msaada Njia nzuri kumlipa Supplier China

    nitafute Mimi, malipo ni ndani ya dakika 40, nitumie Alipaycode au WeChat pay code tu
  13. itakiamo

    JamiiForums Tanzania Maisha ya wasanii wetu nyuma ya pazia

    Asante kaka, umeongezea nyama m. Maisha ya wasanii nyuma ya pazia yanatuachia mashaka
  14. itakiamo

    JamiiForums Tanzania Maisha ya wasanii wetu nyuma ya pazia

    🧵 TAFAKURI: Maisha ya Wasanii Nyuma ya Pazia – Kuna Nini Kinaendelea? Kuna jambo huwa linanikaa kichwani kila mara ninaposikia habari za wasanii kufariki katika mazingira ya kutatanisha. Sio kwa lengo la kuhukumu, bali kujiuliza tu… je, tunawajua kweli hawa watu tunaowashangilia kila siku...
Back
Top Bottom