Recent content by itakiamo

  1. itakiamo

    Maisha ya wasanii wetu nyuma ya pazia

    Asante kaka, umeongezea nyama m. Maisha ya wasanii nyuma ya pazia yanatuachia mashaka
  2. itakiamo

    Maisha ya wasanii wetu nyuma ya pazia

    🧵 TAFAKURI: Maisha ya Wasanii Nyuma ya Pazia – Kuna Nini Kinaendelea? Kuna jambo huwa linanikaa kichwani kila mara ninaposikia habari za wasanii kufariki katika mazingira ya kutatanisha. Sio kwa lengo la kuhukumu, bali kujiuliza tu… je, tunawajua kweli hawa watu tunaowashangilia kila siku...
  3. itakiamo

    Ushauri / Ujumbe kwa JWTZ

    Kutokuwa Tanzania haihalalishi Kuwa umesoma shule ya ajabu, jina tu limekaa kimchongo kama open school
  4. itakiamo

    Ushauri / Ujumbe kwa JWTZ

    Kuna watu mmesoma shule za ajabu Emma high school ndo takataka gani?
  5. itakiamo

    Ushauri / Ujumbe kwa JWTZ

    NAPENDA KUWASILISHA MAPENDEKEZO KUHUSU JINSI JWTZ INAVYOWEZA KUREJESHA NA KUIMARISHA IMANI YA JAMII KUPITIA MAUDHUI YA FILAMU NA TAMTHILIA (MOVIES/SERIES). Kwa kuzingatia nafasi kubwa ya sanaa katika kuelimisha na kuunganisha jamii, napendekeza JWTZ itengeneze series mbili hadi tatu zenye lengo...
  6. itakiamo

    Tunauza na kutengeneza Pump na mashine kama genereta za viwandani

    Je, unatafuta wataalamu wa pump na mashine? Usitafute mbali: Pump and Machinery Expert tupo kwa ajili yako. Tunajihusisha na kuuza na kutengeneza pump, pamoja na vifaa vingine vya mashine kama jenereta na mashine za viwandani. WhatsApp / Simu: +255 755 18 48 73 Tunapatikana: Kariakoo na...
  7. itakiamo

    Karibuni kusikiliza EP yangu mpya, inaitwa STREET CODES

    Habari wana Jamiiforums, Karibuni kusikiliza EP yangu mpya niliyotengeneza Kwa AI inaitwa Street codes, Ngoma Karibu zote ni melodic rap Track 1: Hustle everyday Track 2: life is simple Track 3: Nipe kazi bro Track 4: kitaa kinaongea Track 5 : Sibanaba Track 6 : Usiwe mzembe
  8. itakiamo

    Ndoa ya Dkt. Mwaka yavunjika. Imemaliza upendo kabisa

    Ndo kawaida Yao, wanapenda uhuru, ndoa ilimbana
  9. itakiamo

    Nina Shida na Muhuri wa Mwanasheria

    Pia asanteni tayari nimeshapata huduma
  10. itakiamo

    Nina Shida na Muhuri wa Mwanasheria

    Ilikuwa Ni ku scan then namtumia pdf Ana lawyer Ana scan then Ana scan na ananitumia pdf , tyari Kuna mdau ameshanisainia
  11. itakiamo

    Nina Shida na Muhuri wa Mwanasheria

    Hello wana Jamiiforums, Nina Shida na muhuri wa Mwanasheria . Moja Kati ya Cheti changu cha ujuzi hakina muhuri na nipo mashambani ndani ndani Ni ngumu kupata Mahakama huku. Naomba mwenge muhuri karibu PM
Back
Top Bottom