Hii pikipiki nilipanda kama abiria kile kipindi Cha maandamano 29 October Hadi November 2, nilikuwa nauguza , kipindi Hilo bodaboda walipandisha sana Bei lakini huyo jamaa alikuwa ananifanyia kwa nauli ambayo ipo fair, Ina nguvu kama bodaboda nyingine ila utaigundua ipo tofauti kwasababu ya sauti
🧵 TAFAKURI: Maisha ya Wasanii Nyuma ya Pazia – Kuna Nini Kinaendelea?
Kuna jambo huwa linanikaa kichwani kila mara ninaposikia habari za wasanii kufariki katika mazingira ya kutatanisha. Sio kwa lengo la kuhukumu, bali kujiuliza tu… je, tunawajua kweli hawa watu tunaowashangilia kila siku...
NAPENDA KUWASILISHA MAPENDEKEZO KUHUSU JINSI JWTZ INAVYOWEZA KUREJESHA NA KUIMARISHA IMANI YA JAMII KUPITIA MAUDHUI YA FILAMU NA TAMTHILIA (MOVIES/SERIES).
Kwa kuzingatia nafasi kubwa ya sanaa katika kuelimisha na kuunganisha jamii, napendekeza JWTZ itengeneze series mbili hadi tatu zenye lengo...
Je, unatafuta wataalamu wa pump na mashine?
Usitafute mbali: Pump and Machinery Expert tupo kwa ajili yako.
Tunajihusisha na kuuza na kutengeneza pump, pamoja na vifaa vingine vya mashine kama jenereta na mashine za viwandani.
WhatsApp / Simu: +255 755 18 48 73
Tunapatikana: Kariakoo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.