Recent content by IT-manager

  1. IT-manager

    Serikali imjibu Lowassa, jinsi Richmond & Dowans zimezuia maelfu ya ajira serikalini

    Kwa mfano umepita njiani halafu unamuona Tembo anamkanyaga sisimizi na unaskia kabisa sisimizi analalamika halafu ww unapita km hujaona kitu basi ujue ww uko upande mmoja na Temboz
  2. IT-manager

    Utafiti: Wanawake wembamba hawadumu kwenye ndoa

    Wanawake wote wembamba njooni kwangu mi nkiwaonaga mapigo ya moyo yanatishia uhai wangu!
  3. IT-manager

    Sitaki na sipendi kabisa matumizi ya DNA

    Sababu zako nzuri lakini hazishawishi!
  4. IT-manager

    Jaji Warioba anaishi kwa mlo wa CCM kwanini anaishambulia Serikali

    Mwacheni mzee wa watu ss wananchi tupo nyuma yake haiwezekani mkatuambia eti mbunge akivurunda jimboni wananchi hawana uwezo wa kumwajibisha wakati ss wananchi ndo tuna wajibu wa kumuweka madarakani!
  5. IT-manager

    Nifanye nini jamani

    Huna shida na hela? Kwa sababu unajiweza!!
  6. IT-manager

    Vicheko vingi kwa wajumbe wa CCM kwa katiba ile ile !

    Dereva wa mbunge amalize angalau form four lakini mbunge ajue kusoma na kuandika tuu inatosha!!
  7. IT-manager

    Mke wangu anaupenda wimbo wa Bahati Bukuku - Dunia haina huruma

    Anakiandaa kisaikolojia kuna siku atakuambia hyo ni dedocation kwako!!!
  8. IT-manager

    Nimepokewa na kilio cha wife

    She is for leisure!!! Ha ha au sio!
  9. IT-manager

    Hivi wakinadada hii ni kama asili yenu?

    Mm ningemuomba hata kichwa chake nimhudumie salon mwanaune kuhonga bwana!!
  10. IT-manager

    Ameota nafanya nae mapenzi, ushauri wakuu

    Usimtongoze muite geto stori nyingi omba gegedo yaishe!
Back
Top Bottom