Kwa mfano umepita njiani halafu unamuona Tembo anamkanyaga sisimizi na unaskia kabisa sisimizi analalamika halafu ww unapita km hujaona kitu basi ujue ww uko upande mmoja na Temboz
Mwacheni mzee wa watu ss wananchi tupo nyuma yake haiwezekani mkatuambia eti mbunge akivurunda jimboni wananchi hawana uwezo wa kumwajibisha wakati ss wananchi ndo tuna wajibu wa kumuweka madarakani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.