Huo ni uongo bibi fisi hakufa kwa kukatwa mapanga.Huyo bibi alikutwa amekufa na mwili wake haukuwa na majeraha yoyote.Miye nilishuhudia kwa macho yangu sikuhadithiwa mkuu
Hapo hakuna kupita mpinzani hata ukipata kura zote hutangazwi au zitaongezwa zingine Mara tatu zaidi uonekane umeshindwa.Fikiria uchaguzi wa madiwani Kuna vituo vilikuwa na wapiga kura 104 lkn mgombea wa ccm anapata kura 350.Akili mukichwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.