Daktari feki anaswa Sekou Toure

Daktari feki anaswa Sekou Toure

Hawa watu wameanza miaka hii ya elf 2 na...zamani haikuwepo
Ila pia wanapoingia hawafanyi kazi yoyote wanababaika tu ndio maana inakuwa rahisi kuwatambua huwa wanawadanganya wagonjwa wawape pesa wataenda kuwaharakushia huduma na ili mgonjwa amuamini ataongozana nae hadi huko na si rahisi mtu ambae hajasomea hii fani kudhubutu kuona mtu anavyochanwa hivyo hawaingii ndani kwenye chumba cha upasuaji huishia kwenye chumba cha maandalizi tu
Na pia wengine ni wagonjwa tu kiakili wanajikuta kwenda huko kwa akili zao pungufu kuwatuma
 
Mimi nilishuhudia mdada mmoja yeye alikuwa akipokea daftar za wagonjwa anapeleka kwa dr na theatre alienda hadi chumba cha kubadilishia nguo na alikaa karibu mwezi pale lakini alikuwa anafahamiana na dr mmoja pale hivyo alikuwa anamfuata alipojulikana alishtakiwa alipata kifungo cha mwaka mmoja na yule dr alichukuliwa hatua na chama cha madaktari nchini, wazungu huingia theatre na girl friends wao na kupita nao mawodini kuona wagonjwa sasa mwenzetu huyo alisoma nje ya nchi akapractice ya wazungu ikamgomea [emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom