CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
Ahsante, wewe unaijua dawa gani mkuu?
Vidonda vya tumbo source kubwa ni lifestyle, msongo wa mawazo na kutosamehe...
Ahsante, wewe unaijua dawa gani mkuu?
Mm pia ninatatizo la kifua kinauma mpk upande wa mgongoni,nimeshapima moyo Mara mbili majibu yako vizuri.nimepimwa h.pyrol Mara 4kipimo kimoja ndio kiluandika positive lkn vitatu vikaandika negative.
Hali kama hiyo Imeanza kunisumbua juzi ila mimi hamu ya kula imepotea na nikila chakula kinakwama na kua kama kinataka kurudi mdomoni, kaka hali kama hizi ulikumbana nazo na ukapona kwa dawa hio tu au wewe ilikua ni hio ya acid reflux tu?LICHADI post: 26174906 said:
Weka hizo tiba lishe uwasaidie pia wenzako mkuu.Asee hayo madonda yamenitesa miaka 4 ajabu nimekuja kupona kwa tiba lishe isiyozidi buku kwa siku" Huwezi amini sasa hivi nakula pili pili, ndimu na vyote vilivyokuwa vinaniletea shida.
We mwizi tu na mambo yako ya PM hauna dawa.Kama hutaki hujalazimishwa mkuu
Baking soda maana yake ni amira kwa huku mtaani. Mimi sikuwahi kutumia hiyo, bali nilihangaika na dawa za hospital bila kupata nafuu, nikaanza kutumia dawa za kienyeji, zinaitwa athaum na nyingine jina limenitoka, na kupunguza stress, hali ikawa njema. Hizi dawa unazipata sana sana maduka yaliyopo misikitini, kwa maustadhi
Mkuu ni tatizo gani na vipimo vya moyo vyote gharama yake ikojeNina tatizo linafanana na hili vipimo vyote vya moyo nimefanya hakuna tatizo. Tutajie hospital mkuu.
not but pray.
Nini io? Elezaa
Nyie watu nyieeeee, juzi tu mimi nimetoka hospitali kumuona cardiologist, nimefanya ultrasound ya moyo, EKG na Echo kwa ajili ya haya haya ma vidonda ya tumbo, nilipata maumivu makali kifuani na kupata shida ya kupumua, nikaenda local dispensary nikaambiwa ni angina au symptoms za heart attack....Huyo ni doctor haswaaaaaa,Mimi nimeteswa na MADR HAWA vijana mpaka basi,nimekunywa dawa mpaka basi kudadek YANI VIPIMO VYA MOYO NIMEPIMA ZAID YA MARA10 NOTHING ,MWISHO NAKUJA KUJUA NI ACID/VIDONDA VYA TUMBO.MZEEE SASA NIAMBIE HYO TIBA INAKUAJE SASA MAANA HAYA MA ANTI ACID NAONA YANANITESA TU SANAAA
vipi ulipona mkuuNyie watu nyieeeee, juzi tu mimi nimetoka hospitali kumuona cardiologist, nimefanya ultrasound ya moyo, EKG na Echo kwa ajili ya haya haya ma vidonda ya tumbo, nilipata maumivu makali kifuani na kupata shida ya kupumua, nikaenda local dispensary nikaambiwa ni angina au symptoms za heart attack..
Kwa sehemu kubwa nimepona mkuu. Kwa sasa Nakunywa sana fenugreek na juis ya bamia, ni antacid nzuri kwa ajili ya relief ya stomach ulcers.vipi ulipona mkuu