Recent content by issaramadhani

  1. issaramadhani

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi kuhusu hili la kuagiza vitu kutoka nje ya Tanzania

    Leo ndo naagiza kaka ikifika ntaleta mrejesho.
  2. issaramadhani

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi kuhusu hili la kuagiza vitu kutoka nje ya Tanzania

    Msaada jamani nahitaj kuagiza Kifaa flan hv kidogo kutoka China ila kuna mtu alinambia lazima niwe na S.L.P yangu ili mzigo wangu ufike hapo. Sasa mimi sina hiyo S.L.P na nahitaj kuagiza. Je, mzigo wangu ntaupata vip? Msaada wana JF
  3. issaramadhani

    JamiiForums Tanzania Ni wapi pa uhakika unazoweza kuagiza vitu used (electronics) za USA, UK na Dubai

    Jamani me nahitaki masada ikiwa kama sina Sanduku la posta na nahitaji kuagiza kitu nnje sas nawaza mzigo wangu ntaupata vipi msaada wenu wana jf
  4. issaramadhani

    JamiiForums Tanzania Kitu gani special mabinti wa Tanga wanayo?

    Write your reply.yeah hasa kwenye heshima hpo kwakwl
  5. issaramadhani

    JamiiForums Tanzania Action gamers naomba kujua kama naweza kucheza GTA 5 kwenye kompyuta yenye sifa hizi

    jaman nmerud tena naomba kujua jambo Nina dell desktop i5 3570 sasa kuna jmaa ana processor ya I7 6700 sasa kama ntaiweka nikatoa yngu hyo ndogo itafnya kaz msaada plz
  6. issaramadhani

    JamiiForums Tanzania Action gamers naomba kujua kama naweza kucheza GTA 5 kwenye kompyuta yenye sifa hizi

    asante kaka ngoja nitafute GPU sasa
  7. issaramadhani

    JamiiForums Tanzania Action gamers naomba kujua kama naweza kucheza GTA 5 kwenye kompyuta yenye sifa hizi

    Jaman dell I5 3570 inacheza game kubwa kwel kama gta v kama ntapata graphics card
  8. issaramadhani

    JamiiForums Tanzania Dell I5 3570

    Jamn nataka msaada hpa nina dell I5 3570 nataka kujua kama itacheza game kubwa kama gta v na nyingine kibao sasa sijajua n graphics gn ya ukubwa gan inafaa msaada plz
  9. issaramadhani

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nikiinunulia graphics card dell I5 3470 itacheza game kubwa kama GTA V?

    Jaman samahani nina PC yangu dell I5 3470 nilikua nataka kujua kuwa kama nitainunulia graphics card inacheza game kubwa kama GTA V msaada plz.
  10. issaramadhani

    JamiiForums Tanzania CPU KWA AJIL YA GAME

    Habar Jaman naomba ushauri nataka CPU ambayo ntacheza game vzur ila game kubwa kdgo mfano GTA 5 na zinginezo sasa nipate CPU ya aina gan plz plz
Back
Top Bottom