issaramadhani
Member
- Jan 29, 2017
- 14
- 4
Msaada jamani nahitaj kuagiza Kifaa flan hv kidogo kutoka China ila kuna mtu alinambia lazima niwe na S.L.P yangu ili mzigo wangu ufike hapo. Sasa mimi sina hiyo S.L.P na nahitaj kuagiza. Je, mzigo wangu ntaupata vip? Msaada wana JF