Najua huelewi mpira kipindi cha kina hanse kwani walimsajili mchezaji gani wa bei kali kama sakho, banda kanoute, quatara, phiri zaidi ya kuleta kina ndaw alie tudhalikisha Mbeya usitufanye kama hatukuwepo huu ni uropokaji tu hakuna cha barua ya wazi makosa kwenye usajili hata team kubwa...
Mimi naona huyu kijana Kelvin apunguze jazba aache mihemuko pindi wakutwanishapo na nduguze upande WA baba yake tena hao wajomba hawahusiki na chochote ktk Mali hizo hivyo asichanganye mambo pia maswala ya kesi asiyahusishe na chuki Kwa nduguze kwani Mahakama itaamua awe mpole mama anatuhumiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.