Pengine alifanya ngono zembe na wanaume wengi na pengine anajulikana kuwa hana mwanaume mmoja unafikiri mwanamume gani atakubali kulea mimba ihaliyakuwa anajuwa hayukopekeyake, nimtazamotu. Lakini wamama wawewazi hata kuomba msaada kwani binadamu sio wote wanaroho ngumu kunamwengne wanahuruma...
Kweli elimu haina mwisho nimesoma mara4 lakini mwisho nimeamua kuja kwenye comment pia wenzangunao wanasema hawajaelewa dah. Sio shida aliyeandika atueleweshe tuelewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.