Recent content by Issa0716

  1. Issa0716

    TCRA yatolea ufafanuzi sheria ya umiliki wa laini moja iliyoanza kutumika leo

    Mimi naona mauzauza tu, alama ya vidole imemaliza kilakitu hapo niliwaunga mkono lakini hii ya line 1 kiukweli wamekurupuka inabd wafkrie tena
  2. Issa0716

    Aliyemuua mumewe kwa nyundo ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

    Wivu wa mapenzi na ukijumuisha hasira, lazima utafeli
  3. Issa0716

    Adaiwa kumuua mtoto wake na kumzika

    Pengine alifanya ngono zembe na wanaume wengi na pengine anajulikana kuwa hana mwanaume mmoja unafikiri mwanamume gani atakubali kulea mimba ihaliyakuwa anajuwa hayukopekeyake, nimtazamotu. Lakini wamama wawewazi hata kuomba msaada kwani binadamu sio wote wanaroho ngumu kunamwengne wanahuruma...
  4. Issa0716

    Bunge lapitisha sheria ya afya ya mimea. Faini ya milioni 500 kutolewa kwa watakaoikiuka

    Kweli elimu haina mwisho nimesoma mara4 lakini mwisho nimeamua kuja kwenye comment pia wenzangunao wanasema hawajaelewa dah. Sio shida aliyeandika atueleweshe tuelewe
  5. Issa0716

    Mwanza: Mama mbaroni kwa kuwatelekeza watoto kwenye majaruba ya mpunga usiku

    Hii habari imenugusa sana unaanzaje kutelejeza watoto wadogo kiasi hicho mh
  6. Issa0716

    Mgogoro wa Iran na Marekani: Baadhi ya Mataifa yaanza kuondoa Majeshi yake nchini Iraq

    Haya mambo nimakubwa sasa. Watuwengi watapeteza malizao roho zao bila hatiya mungu yehova asaidie kwakweli trump hana nianzuri
  7. Issa0716

    Man arrested for blocking Uhuru’s motorcade to beg for a job

    Anahaki yakufanya ivo inabid wamsilikize wampatie fursa yukosahihi
Back
Top Bottom