Recent content by issa mweusi88

  1. I

    Friday night live

    Leo imetulia hakuna wadada wa kukaa uchi nimependa aisee.......napenda siku zote hiwe hivyo
  2. I

    Mama FB & Mafkizolo

    Kwel kabisa bt napendaga kusoma comment za watu
  3. I

    Mama FB & Mafkizolo

    Jf watu wengine hawalali wanakeshea hum......
  4. I

    Mama FB & Mafkizolo

    Zimewafikia
  5. I

    Ikulu sio kwa baba yako

    Jamani, kuna katoto nimekaona Instagram na wapambe wake eti kamechukua form ya kugombea urais na ukiangalia hata sifa za kugombea hakana mana umri wake ni mdogo. Ila nahisi utakuwa mchezo mchafu wa kuchafuana miongoni mwa watangaza nia.
  6. I

    Wabunge wote waliotusaliti wananchi nna clip zao

    Wanajali masilahi yao tu haswa watangaza nia ndo wamenivunja nguvu
Back
Top Bottom