Kwa nijuavyo, hata mwandishi wa makala hii anasaka fursa. Hata wanasiasa hao wote wametokea ccm ili kusaka fursa na waliobaki ni kwamba fursa zimekubali
Lakini pia nina swali dogo tu, inawezekana vipi mtu asiye na cv nzuri akawaendesha vichwa kama akina Lipumba, Zitto, Membe, Mwakyembe...