Israel Mwalukasa
Member
- Jul 12, 2015
- 15
- 0
Usihofu hao jamaa hawana shida yoyote; wana shughuli zao tu. Wewe nenda kapige kura kisha rudi nyumbani utulie.
Hata ingekuwa kwetu ningepata hofu maana hasa kwa majira haya tuliyonayo. Vita inasaga wallomo na wasiokuwemo.