Israel Mwalukasa
Member
- Jul 12, 2015
- 15
- 0
Kwa nijuavyo, hata mwandishi wa makala hii anasaka fursa. Hata wanasiasa hao wote wametokea ccm ili kusaka fursa na waliobaki ni kwamba fursa zimekubali
Lakini pia nina swali dogo tu, inawezekana vipi mtu asiye na cv nzuri akawaendesha vichwa kama akina Lipumba, Zitto, Membe, Mwakyembe, Slaa na akina nnauye? Naona vigumu sana kuiamini makala hii.
Lakini pia nina swali dogo tu, inawezekana vipi mtu asiye na cv nzuri akawaendesha vichwa kama akina Lipumba, Zitto, Membe, Mwakyembe, Slaa na akina nnauye? Naona vigumu sana kuiamini makala hii.