Recent content by Ismail Samson

  1. Ismail Samson

    Mchungaji Mwaiposa na uuzwaji wa “Maji ya Baraka” ni wizi mtupu

    Mmh Haya mambo MUNGU atusaidie wapo hawa wanaosema Adam wa kwanza Mungu wa Elia hawa ndo wamenivuluga akili kila mwenye mafanikio akigusa tu lazima afilisikike maana wanahitaji vitu vyote viwe vipya ikiwa ni pamoja na kupata jina jipya Mmh hizi nyakati tuwe makini tusome biblia Ndio kila kitu
  2. Ismail Samson

    Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

    Hahahaaa huwajui wanawake wewe !! Wote ndivyo walivyo Ndio maana baadhi ya wafanyakazi wa CIA huwa hawaruhusiwi kuoa
  3. Ismail Samson

    Katika safari yangu, nilichokiona maeneo ya Pwani kinasikitisha

    Bora nchi ingegawanywa watu wa pwani ni shida wanatunyonya wavivu hatari
  4. Ismail Samson

    Utupu wa William Malecela: Je, tunaweza kuwaza tofauti?

    Mkuu nitafurahi nikijua umri wa huyu tineja Le mtuz
  5. Ismail Samson

    Madereva wa Alteza, Subaru na Cruser V8 wakikutana na huu mkeka wa Zambia... Lazma tairi lichomoke

    Kinachonifurahisha Zambia ni uchache wa magari na nchi haina milima Hvyo ni full speed
  6. Ismail Samson

    Katika maisha yangu haya ya ujana, sijakutana na mwanamke bikira kimwili

    We ni mitumba tu!!! Pole Sana maana yake huijui dunia bado
  7. Ismail Samson

    Ni aibu kiongozi wa dini kuitupa injili na kutumika kisiasa

    Rudi darasan ujue nini maana ya kuwa Kiongozi iwe wa din au sehem yoyote harafu njoo ukosoe
  8. Ismail Samson

    Tuoshe macho kidogo na haka katoto kazuri

    Ama kweli dunia imepambwa ila nijuavyo Mimi ni ubatiri mtupu
  9. Ismail Samson

    Kidini Israel na Trump wapo sahihi, kisheria Wapalestina wapo sahihi

    Achen kuzaa wtt nje ya ndoa Ishmael Alitangulia Kaanan lkn ulikuwa nje ya Agano Hvyo nchi si yake Yakobo mbalikiwa ndiye mmiliki halali hao wengine watafute pa kwenda angalizo usinchukie Mimi muulize MUNGU aliye juu
  10. Ismail Samson

    Lodge nzuri Mbeya Mjini

    Paka pori ww
  11. Ismail Samson

    Lodge nzuri Mbeya Mjini

    Hv unaifaham mbeya unavyosema hamna? George town sae ni yakwako Hillveaw vp desideria na beako he? Acha kutudhalilisha!
  12. Ismail Samson

    Wana CCM Tulifanya Makosa Makubwa 2015 Kumpendekeza Magufuli. Tusirudie makosa 2020

    Wa kulaumiwa ni Mwenyekiti wa chama kipindi hicho Jk Kati ya wagombea wote 40 alikuwa mwanaume mmoja tu nae ni Propesa Mwandosya
  13. Ismail Samson

    Mahusiano na kitendo cha mapenzi isiwe chanzo cha vifo, huzuni na maumivu. Nimesikitika sana haya yanayotokea

    Mapenzi ni Vita we lembalemba uone vijana wanavyokuchukia! Hyo ilikuwa ajali kazin usikute alikuwa na bp
Back
Top Bottom