Recent content by ismail nangombwani

  1. ismail nangombwani

    Kuna anayejua kampuni au shirika linalofadhili masomo

    Habarini wana JF, Kama kuna mwana JF anajua labda kuna shirika au kampuni inazamini (fadhili) masomo ya stashahada (diploma) ya ualimu kwa masomo sayansi naomba msahada tafadhali mana kuna kijana ana ufaulu mzuri sana lakini anashindwa kuendelea na masomo uwezo wa kifedha ni mdogo sana kwenye...
  2. ismail nangombwani

    Korea Kaskazini yasema vikwazo vipya ilivyowekewa ni kama vita

    Aaaaaaaaaah ata ukskio ecomically itakuw ngumu xana kw korea kaskazini cha msingi apo kim take measure mapema sana
  3. ismail nangombwani

    Mo Dewji ameonyesha sura yake halisi,wanasimba tutarajie u-Dictator Mo akishakabidhiwa Hisa

    Acheni kuongea vitu ambavyo havina mantiki mo ana wafanyakazi wangapi kwenye makampuni yake kuna siku ulisikia kawazalilisha kwenye mitandao ya kijamii au kwenye vombo vya habari tatizo ni kocha hakuna mwana simba asiyelitambua ilo tumemfukuza tunatalajia simba ss itaimalika
  4. ismail nangombwani

    Rugemalira aibua mapya, anataka kumtaja mwizi wa fedha za Escrow

    mwizi ndo yeye aliyekamatwa na ngozi Kama alikua anamjua mwizi mbona hakamtaja tangu zamani
  5. ismail nangombwani

    Hatimaye Tanzania yapiga kura Umoja wa Mataifa (UN) kuhusu kutambua Jerusalem kama mji mkuu wa Israel

    Issue c wazung kuctsh kuleta misahada hv kw mfano wakactsha then cc tukaenda kununua kwa pesa zetu watakataa kutuuzia c tutaincrease import
  6. ismail nangombwani

    NAPE: Ni rahisi kuchukulia poa kwasababu kwako mambo yanaenda, lakini sio hata kidogo

    Aaaaaah brother nape just to take it normal coz ndo life leo kwako kesho kwake""
  7. ismail nangombwani

    Sakata la Airtel na TTCL: TTCL wasema wana ushahidi wa kutosha kuthibitisha kuwa kampuni ya Airtel ni mali yao 100%

    Duuu mathematicaly ao jamaa wameujumu uchumi sana cha mcngi serikal chukueni kampuni yenu na najua wausika wanajulikana cha mcng waadabishwe....... Apa kazi tu.
Back
Top Bottom