Habarini wana JF,
Kama kuna mwana JF anajua labda kuna shirika au kampuni inazamini (fadhili) masomo ya stashahada (diploma) ya ualimu kwa masomo sayansi naomba msahada tafadhali mana kuna kijana ana ufaulu mzuri sana lakini anashindwa kuendelea na masomo uwezo wa kifedha ni mdogo sana kwenye...
Acheni kuongea vitu ambavyo havina mantiki mo ana wafanyakazi wangapi kwenye makampuni yake kuna siku ulisikia kawazalilisha kwenye mitandao ya kijamii au kwenye vombo vya habari tatizo ni kocha hakuna mwana simba asiyelitambua ilo tumemfukuza tunatalajia simba ss itaimalika
Duuu mathematicaly ao jamaa wameujumu uchumi sana cha mcngi serikal chukueni kampuni yenu na najua wausika wanajulikana cha mcng waadabishwe....... Apa kazi tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.