Recent content by Ismail Mboya

  1. Ismail Mboya

    Simulizi: Harakati za Jason Sizya

    Bishop Hiluka kwan imeenda kwenye mazishi ya eliza??
  2. Ismail Mboya

    Simulizi: Harakati za Jason Sizya

    Acha woga mkuu hiyo sheria inaeditiwa tuu
  3. Ismail Mboya

    Simulizi: Harakati za Jason Sizya

    Sasa bwana Bishop Hiluka unaogopa nni kuweka hayo mambo?? Huoni unatunyima baadhi ya vitu?? Ama huoni nafsi yako unakusuta kwa kutuibia?? Weka mambo wazi kiongozi acha kufutafuta
  4. Ismail Mboya

    Simulizi: Harakati za Jason Sizya

    Mkuu Bishop Hiluka usim'bane mbavu jason banaa kama vp upaediti apo kwenye kubanwa ama upa_skip
  5. Ismail Mboya

    Simulizi: Harakati za Jason Sizya

    Anaviendekeza lakini ni vitamu ujuwe moneytalk Ama unajisahaulisha rafiki??
  6. Ismail Mboya

    Simulizi: Harakati za Jason Sizya

    Ila hii story ni tam haswaa... Kwanza haitabiriki Sisi tumeshazoea ukisoma stori fulan unaweza kutabiria mwishoni itakuaje Lakini kwa hii movie aseee bwana Bishop Hiluka umetuweza sana naniii Kunywa ata bia mbili boss
  7. Ismail Mboya

    Simulizi: Harakati za Jason Sizya

    Umekwishaaa!! Bishop Hiluka huyo dada namjua na mme wake ni mganga wa kienyeji[emoji3][emoji3][emoji3]
  8. Ismail Mboya

    Simulizi: Harakati za Jason Sizya

    Kwani Bishop Hiluka umekua karani wa sensa?? Tuletee movie yetu bana
  9. Ismail Mboya

    Ujinga niliowahi kuufanya kulilia penzi la mchepuko

    Ata mmi nimrtafuta apa sioniii
  10. Ismail Mboya

    Simulizi: Mimi na Boss Wangu

    Jack Daniel umecheza vizuriii...
  11. Ismail Mboya

    Simulizi: Mimi na Boss Wangu

    Noma sana yaan...
  12. Ismail Mboya

    Uhalisia wa Shetani (Utaifahamu kweli, na hiyo kweli itakuweka huru)

    Ndugu Venus Star chukua biblia yako kisha ufungue kitabu cha #Yakobo1:13 alafu uje tena kwenye mada yako
  13. Ismail Mboya

    Simulizi: Mimi na Boss Wangu

    Hahahahhaaaaaaa ndugu wewe unamawazo yenye akili sanaa Mdigokhan
  14. Ismail Mboya

    Simulizi: Mimi na Boss Wangu

    Mbona msala umekua mkubwa tena jamaniii
  15. Ismail Mboya

    Simulizi: Mimi na Boss Wangu

    Siyo siri.. Hadi nasisimka Yaaan ni motooo!!!
Back
Top Bottom