Sasa bwana Bishop Hiluka unaogopa nni kuweka hayo mambo?? Huoni unatunyima baadhi ya vitu?? Ama huoni nafsi yako unakusuta kwa kutuibia??
Weka mambo wazi kiongozi acha kufutafuta
Ila hii story ni tam haswaa... Kwanza haitabiriki
Sisi tumeshazoea ukisoma stori fulan unaweza kutabiria mwishoni itakuaje
Lakini kwa hii movie aseee bwana Bishop Hiluka umetuweza sana naniii
Kunywa ata bia mbili boss
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.