Umekosea sana kuwadharau wanaume wenzio walioa wanawake wasio na bikira,pia elewa kuwa kuoa mwanamke mwenye bikira si kipimo cha uaminifu ktk ndoa,kwanini nasema hivyo mm mwenyewe ni muhanga wa hilo,miaka 18 iliyo pita nilioa msichana bikira ni kazaa naye mtoto mmoja,baada ya miaka2 hivi...