Pole sana,lakini ndugu yangu mambo kama hayo si vizuri kuyaweka humu,hapa unataka kujichanganya bure,maliza mambo yako ya ndani kimya kimya,penye kuku wengi usimwage mtama
Hapa tujue kwamba hili ni taifa ,linahiyaji vijana wakuliongoza na kati ya hao ni nyie vijana wa sasa,tunahitaji vijana wenye elimu,nidhamu,uaminifu na heshima mbele ya jamii,matusi kwa hali yoyote ile bila kujali ametukanwa nani, huo ni utovu wa nidhamu ,visingizio vya siasa visipewe nafasi na...
Nafikiri tufike mahala tukubaliane,nidhamu ni kitu muhimu katika maisha ya binadamu,tusiingize siasa katika hilo,msemo wa kiswahili usemao asiyefunzwa na mama hufunzwa na ulimwengu .
Sasa basi tabia ya utovu wa nidhamu tusiipe nafasi kwa kisingizio cha siasa.
Tatizo lako ndugu yangu haujawa mkweli, kunakitu unaficha sababu huwezi kumchukia mtu hivi hivi, na ukiendelea kuificha hiyo siri yako itaendelea kukutafuna hivi hivi, funguka ndugu yangu siyo lazima humu, tafuta hata viongozi wa dini waeleze matatizo yako watakupa ushauri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.