Recent content by ishngoma

  1. I

    Kuna utani wa kuitana nyumba za Wageni?

    Pole sana,lakini ndugu yangu mambo kama hayo si vizuri kuyaweka humu,hapa unataka kujichanganya bure,maliza mambo yako ya ndani kimya kimya,penye kuku wengi usimwage mtama
  2. I

    Ubaya wa kudate na wanawake wembamba

    Kweli ukubwa wa pua sio wingi wa makamasi
  3. I

    Mafuta gani mazuri ambayo hupakwa kwenye ndevu

    Siyo hivyo ,majibu mengine yanaonyesha taswila ya mtu jinsi alivyo.
  4. I

    Makosa ya Mtandao: Mbaroni kwa ‘kumtukana’ Naibu Spika, Tulia Ackson

    Hapa tujue kwamba hili ni taifa ,linahiyaji vijana wakuliongoza na kati ya hao ni nyie vijana wa sasa,tunahitaji vijana wenye elimu,nidhamu,uaminifu na heshima mbele ya jamii,matusi kwa hali yoyote ile bila kujali ametukanwa nani, huo ni utovu wa nidhamu ,visingizio vya siasa visipewe nafasi na...
  5. I

    Makosa ya Mtandao: Mbaroni kwa ‘kumtukana’ Naibu Spika, Tulia Ackson

    Nafikiri tufike mahala tukubaliane,nidhamu ni kitu muhimu katika maisha ya binadamu,tusiingize siasa katika hilo,msemo wa kiswahili usemao asiyefunzwa na mama hufunzwa na ulimwengu . Sasa basi tabia ya utovu wa nidhamu tusiipe nafasi kwa kisingizio cha siasa.
  6. I

    Uume umesimama toka juzi mpaka hivi sasa baada ya kula dawa ya mtaalamu

    Hapatikani wapi kwenye simu au nyumbani kwake
  7. I

    Uume umesimama toka juzi mpaka hivi sasa baada ya kula dawa ya mtaalamu

    Muone huyo Mganga aliyekupa dawa muelezee shida yako.
  8. I

    Msaada nacte

    Subiri NACTE watajibu
  9. I

    Msaada nacte

    Subiri NACTE
  10. I

    Nchi gani nzuri ya kwenda kupumzika na kula raha za dunia

    Mnaanza uchokonozi, kwani hujamuelewa!
  11. I

    Ndoa inanitesa: Nipeni ushauri niondokane na mateso haya kwani uvumilivu wangu ndio kifo changu

    Tatizo lako ndugu yangu haujawa mkweli, kunakitu unaficha sababu huwezi kumchukia mtu hivi hivi, na ukiendelea kuificha hiyo siri yako itaendelea kukutafuna hivi hivi, funguka ndugu yangu siyo lazima humu, tafuta hata viongozi wa dini waeleze matatizo yako watakupa ushauri
  12. I

    Kama ni kweli basi ndugu zangu ntakufa kishujaa sana ingawa nawaza sana

    Haya matatizo wayatafuta mwenyewe, kwani kutangazia wenzio ulichokula kinakuongezea nini, sana sana ni kujishushia heshima yako.
  13. I

    Sitaki kuamini wala sitokaa niamini kuwa uchaguzi wa Marudio Monduli waliojitokeza kwenye kura ni wengi kuliko wale wa uchaguzi mkuu!

    Tatizo ni wingi wawapiga kura? Kwani waliojiandikisha hawafikii idadi Hugo?
  14. I

    Sina bahati ya kupata wasichana wadogo kiumri

    Jamani ni Benki gani wanaotoa mikopo ya elimu
Back
Top Bottom