Kivuli kinaishi!, sifa za kitu chochote kinachozaliwa ni kukua na kufa. Hakuna anayejali, wamelala usingizi wa pono! Misemo na mifumo lukuki, mara digitali mara kilimo kwanza mara 'Big Results Now!. Nirudi kwenye mada. "ANGUKO", siku za nyuma, Bw. Nape alinukuliwa akisema CCM HAITAKUFA!. Chama...