Asante Mzee Mohamed Said kwa kutuhabarisha!
Nakumbuka sana nyimbo za huyu gwiji wa Muziki - Fundi Konde.
Baadhi ya nyimbo zake:
Majengo Siendi Tena
Mama Sowera
Jambo Sigara
Tausi Ndege Wangu
Olivia Leo, n.k.
UTT siyo mfuko wa hisa.
UTT - AMIS: Ni aina ya Uwekezaji wa Pamoja (Collective Investment Scheme)
Ipo mifuko sita iliyo chini ya UTT - AMIS:
Umoja Fund
Watoto Fund
Wekeza Maisha Fund
Jikimu Fund
Ukwasi (Liquid Fund) na,
Hatifungani (Bond Fund)
siku tatu za kazi (working days)
Asante sana Mzee Mohamed Said!
Huwa napenda sana kusoma post zako maana yapo mambo mengi uliyonayo ambayo hata kwenye vitabu vya historia huwezi kuyapata.
Uzi huu umenifundisha kitu kimoja kikubwa, kwamba elimu kuhusu uwekezaji wa pato tulivu (passive income) bado sana hapa nchini Tanzania.
Wachangiaji wengi katika uzi huu wanachanganya mambo mawili katika uwekezaji - Active income na passive income
Huwezi kufanya passive income alafu kila siku...
Waisrael hawanaga hizo habari za fiction bali Waarabu.
Mfano: Arabian Nights (1 Thousand and 1 Night), The Book of Khaleed, The Hakawati n.k...
Hizi hadithi za kufikirika zimeingizwa hadi kwenye imani fulani za watu wakidai kuwa ni maajabu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.