Usipokuwa na Elimu ya kutosha kama LUKUVI ni sharti UJIKOMBE (boot-licker) na MWANAUME anayejikomba...agopa sana ...aweza "Kufanya lolote au kutoa chochote"
Huyu mama ni jasiri tangu zamani. Ni Mwanzalishi wa Baraza la Wanawake Tanzania (BAWATA) ambalo halikuwa linaegemea itikadi ya chama chochote cha siasa, lakini CCM wakiongozwa na "Dr Feki" Mama Nagu wakamuibukia kama kipanga na kuiua BAWATA, eti inakikosoa chama na itaiua UWT (CCM). Bravo madam...
Jibu hapa ni rahisi. Kwa sababu CHADEMA kwa sasa ndo HABARI bora. Wewe hujawasikia hata viaongozi wa CCM, Kinana, NApe, Ndugai, Bi kiroboto, Mwigulu, Kigwa, n.k wakiwataja sana CHADEMA? Tafakari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.