Kimenuka Liwale, mabomu kwa kwenda mbele! Nyumba kadhaa zachomwa moto...

KIMENUKA KWELI KUANZIA JANA saa 12 JIONI MPAKA SAA 11 ASUBUHI MPAKA MUDA HUU HAKUNA DUKA LOLOTE LINALOTOA HUDUMA
baadhi ya picha zipo
 
CHADEMA wanazidi kuharibu nchi...

Hili chadema wanahusikaje,
Serikali iliovaa miwani ya mbao ndiyo dawa yake kuwajibishwa na wananchi, utaratibu huu ukiendelea nchi nzima viongozi wataogopa kuwadharau wananchi. Kila atakayeleta dharau tunamfuata nyumbani ucku. Watanyooka tu.
 
Kuna mikutano ya cuf ilifanyika wiki ilopita na kambaya amemwaga Sumu cheki cd zake tawi la wazee k.koo zinauzwa ccm wanamtihani kusini
 
Hii ni ajabu yangu ya kwanza kwa mwaka 2013. MAFILILI huyu huyu!?

Hata mie nimeshangaa,labda ameona ukweli na anatafuta njia ya kuokoka,ili awe na uwezo wa kuwasemea wanyonge.Hongera MAFILILI kama umeanza kujitambua .
 
Matukio haya yanatoa fursa kwa chama kujitathmini kuhusiana na utekelezaji wa KILIMO KWANZA; imeonekana kuna watendaji wa serikali na vyama vya ushirika walio ndumila kuwili;ni mawakala wa vyama vya upinzani CHADEMA (waliopo serikalini) na CUF (waliopo katika vyama vya ushirika

Kabla haujaanza kumnyooshea jirani yako kidole kwa kuangamiza nyumba yako angalia vidole vingapi vinaelekea kwako kwanza,halafu jitathmini na uchukue hatua na inabidi iwe ya haraka,vinginevyo utakuta mwali si wako.Pale penye ukweli mliokaribu na watawala waambieni ukweli ili waweze kubadilika hii ya kila kitu UPINZANI mnapoteza muda,usiangalie ulipoangukia bali sababu za kuanguka.

Na tifike mahali tukubaliane kwamba serikali imewatelekeza wananchi wake na hata pale wapinzani wanapojaribu kuwashtua mnawatukana,tutafika kweli?
 
Matukio haya yanatoa fursa kwa chama kujitathmini kuhusiana na utekelezaji wa KILIMO KWANZA; imeonekana kuna watendaji wa serikali na vyama vya ushirika walio ndumila kuwili;ni mawakala wa vyama vya upinzani CHADEMA (waliopo serikalini) na CUF (waliopo katika vyama vya ushirika

Umnyimapo mwanao chakula unategemea nn?
 
Nendeni mkadai jasho lenu wana Liwale, haiwezekani jasho lenu liliwe kirahisi na watu wahuni wahuni tu kama Raisi wao
 
kitendo cha chadema kuhamasisha wahuni kuchoma ofisi za serikali kinadhihrisha kuwa chadema haina mpango wa kuongoza nchi. Huwezi kutaka ofisi za serikali zichomwe kama una mpango wa kuongoza serikali hiyo...

buku saba at work
 
Lilisemwa hili
Kishindo cha mikutano ya Wabunge sita wa CHADEMA waliosimamishwa na Naibu Spika,Job Ndugai, kwa uamuzi uliungwa mkono na Spika Anne Semamba Makinda,kuhudhuria vikao vya Bunge la Bajeti kwa siku tano,kimeitikisa CCM. Inasemwa kwamba Kiti cha Spika kimewapa CHADEMA nafasi ya kufanya mikutano ya hadhara wasiyostahili na hivyo kuibana na kujibu mapigo ya mikutano ya Sekretarieti ya CCM inayoongozwa na Katibu Mkuu wa CCM,Kanali Mstaafu Abduralhman Kinana.

Inadaiwa kuwa Kiti cha Spika ni kama kilipanga kuendeleza mapambano ya kisiasa nje ya Bunge kwa kuwasimamisha Wabunge sita wa CHADEMA ambao wote ni wasemaji mahiri. Kimsingi,Kiti cha Spika sasa kinalaumiwa na CCM kwa kuwasimamisha Wabunge: Tundu Lissu,Joseph Mbilinyi,Mchungaji Peter Msigwa,Ezekiel Wenje,Highess Kiwia na Godbless Lema ambo sasa wanachanja mbuga mikoani kuwashtaki CCM na Serikali yao kwa wananchi.Tayari Wabunge hao,wakiongezewa nguvu na Mwenyekiti wao Freeman Aikaeli Mbowe na Katibu Mkuu Dr.Wilbrod Peter Slaa pamoja na viongozi wengine wa litaifa wa CHADEMA wameshafanya mikutano ya hadhara Mwanza,Dodoma na Iringa.

' Unamsimamisha Lissu,Lema na wenzao tena kwa siku tano unategemea nini?' aling'aka Waziri mmoja kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu. 'Muda huu wa Bunge la Bajeti ulikuwa muafaka kwetu(CCM) kufanya mikutano ya hadhara bila mawaa. Ndivyo ilivyopangwa na kukubaliwa na chama. Ndivyo afanyavyo Katibu Mkuu Kinana na Nape Nnauye. Sasa Kiti cha Spika kimeturudisha nyuma na kutuharibia mipango yetu' aliongeza.

Waziri mwingine ambaye ni Mbunge wa kuteuliwa amekwenda mbali zaidi na kusema kuwa Kiti cha Spika kitashtakiwa kwenye vikao vya chama kwa kutoa nafasi kwa CHADEMA kujibu makombora ya CCM muda huu. ' Lazima tuwashtaki katika vikao. Laiti Wabunge hawa wangetingwa na vikao vya Bunge,wasingeweza kufanya kama wafanyavyo sasa. Hapa kuna harufu ya mpango maalum wa kuibeba CHADEMA. Bora hata Kiti cha Spika kiwaite haraka Wabunge hawa Bungeni ili kuwapunguza kasi' alisema Waziri huyo aliyeungwa mkono na Mawaziri wengine pamoja na Wabunge.

Ilikuwa ni katika Kikao kisicho rasmi cha kichama kilichofanyika hapa Dodoma baada ya kuwepo na uzushi kuwa eti CHADEMA imewachochea wananchi wa Liwale na wananchi hao wanajiandaa kuandamana na kufanya fujo.

Kizungumkuti kweli kweli!

VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam ( sasa Dodoma)
 
Hayo ni matunda ya ziara ya Kamanda MTATIRO - CUF katika viunga hivyoo ! Safi sanaaa....

Haki haiombwii... Wanataka kuwadhulumu sababu wao ni " WAISLAMU " ole wao sasaaa...
Kaka usiweke udini hapo,ni haki ya kila mtu kudai haki yake hapo na si waislamu ndio wakulima wakorosho pekee,Shukulani kwa walio waaamsha wakulima hao.HAKI haiombwi.
 
CCM walivyosikivu watamtuma MWIGULU akawatulize...Nadhani hii ndo serikali ya wahuni...RAIS haoni jinsi wananchi wanavyozidi kuchoka kimaisha yeye kigulu na njia as if kampata sheikh Yahaya ULAYA...si ajabu gharama za safari mbili tu ambazo KIKWETE anazifanya ulaya tusishangae zinaweza kuwalipa hawa wakulima wa korosho lakini kwake kipaumbele ni kuzurura kwa kodi na mauzo ya walima KOROSHO....CCM ebu aanzeni kuonyanya kwani mtachomewa nyumba zenu mmoja mmoja
 
Walitakiwa wamwangamize kabisa huyo mbunge wa CCM kwani wameifanya nchi yetu kuwa ' resource curse'
 
Back
Top Bottom